Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,923
- 122,191
Nimemukumbuka Fatuma wake kwenye movie nacheka sanaaMajuto anachekesha hata kama anaumwa. Kumuangalia tu nacheka
Nimemukumbuka Fatuma wake kwenye movie nacheka sanaaMajuto anachekesha hata kama anaumwa. Kumuangalia tu nacheka
Huyo ni adui yakeMbona kwa Antipas haikuwa hivyo?
Anatembelea wagonjwa wazalendo waliolazwa hospitali za wazawa wazalendo na wanaotibiwa na madaktari wazawa wazalendoHaya tumeona, Lissu ndiyo kagoma kabisa kumtembelea
Lisu Anatibiwa hospitali za watanzania? Anataka pesa zetu za kigeni wapewe waganga wa nchi zingine anasomba pesa zetu za kigeni kwenda kuwapa wakenya na wabelgiji badala ya kuwapa mahosputali yetu na madaktari wetu .Anafisadi pesa za kigeni akiwa Mahospital ya Kenya na ubelgiji.Mzee majuto kaokoa hela za kigeni haki yake kuona na raisiMbona kwa Antipas haikuwa hivyo?
Lissu??Haya tumeona, Lissu ndiyo kagoma kabisa kumtembelea
Fanya kazi upate pesa
lakini ukiwa na fikra zilizo huru lazima uwe mtu wa kuhoji, kutafakari na kudadisi kwa kila jamboManeno ya mwisho ndo muhimu sana kumtakia pole. Kuliko upupu wa mwanzo.
Apone haraka King Majuto
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli leo amemtembelea muigizaji mkongwe wa filamu na maigizo nchini Tanzania, Mzee King Majuto hospitalini kumjulia hali.
Lisu Kakimbilia Nairobi kabla hata raisi hajatulia afikirie kumtembelea au LA huyo katimua mbio kakimbilia ubelgiji akiwa nw drip mikononi na sindano ambayo nurse alimchoma kabla hajaochomoaHuyo Lisu si alikimbilia Nairobi, unataka Rais afunge safari akamtembelee? Ujinga mwingine uacheni huko huko ufipa.
hahaha kwani yeye ndo anatupa si yule kijana wake mpendwa?nipost humu mkuu ..sihitaji kuokotwa coco nikiwa kwenye mfuko aisee
yeye anatoa go a head ..mkuuhahaha kwani yeye ndo anatupa si yule kijana wake mpendwa?
Uhai na Pesa kipi bora?najua wewe upo upande wa pesa zaidi.Lisu Anatibiwa hospitali za watanzania? Anataka pesa zetu za kigeni wapewe waganga wa nchi zingine anasomba pesa zetu za kigeni kwenda kuwapa wakenya na wabelgiji badala ya kuwapa mahosputali yetu na madaktari wetu .Anafisadi pesa za kigeni akiwa Mahospital ya Kenya na ubelgiji.Mzee majuto kaokoa hela za kigeni haki yake kuona na raisi
Pesa kama alizotumia Lisu zingeweza tibu wagonjwa zaidi ya milioni moja wakapona.Mgonjwa mmoja kutumia mamilioni ya pesa huku kukiwa na wagonjwa kibao waliokosa dawa kwa kukosa pesa sikubaliani uhai huangalii wa MTU mmoja tu unaangalia gharama zake na athari kwa wengine piaUhai na Pesa kipi bora?najua wewe upo upande wa pesa zaidi.