Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
- Thread starter
- #41
Wewe ndo akili yako haijafugwa? Acha kujifanya mjuaji wewe, hapo wengine wameleta hoja za msingi kuhoji Lissu vipi?Kwako wewe ni upupu kwa sababu akili yako imefungwa kwenye box la fikra, lakini ukiwa na fikra zilizo huru lazima uwe mtu wa kuhoji, kutafakari na kudadisi kwa kila jambo
Na hao naunga mkono hoja zao, siyo kama jamaa yako huyo na ndio maana nikaita upupu. Asante kwa kumwakilisha vema huyo niliyemqoute.