Walinzi wako wengi alipopeleka jina bungeni walikuwepo wengine .Wasaidizi wa Raisi wako wengi aweza mtuma yeyote Kama Kuna umbali Sio kumtoa huyo wa mgongoni .Mbona wako kibao tu na wanafahamiana akitaka kitu kwenye mkutano aweza chomoka yeyote akaenda. Akamkabidhi bosi wake bosi wake akamkabidhi msaidizi wake huyo wa mgongoni bila ya Huyo kutokaYule ni mpambe wa Rais yupo kumsaidia majukumu madogo madogo kama hayo wenye ulinzi wao wapo kwa kazi hiyo
Wakati jina LA waziri mkuu linapelekwa bungeni na Yule mpambe likapigiwe kura nani huwa anamlinda Rais huko alikobaki
Walinzi wako wengi alipopeleka jina bungeni walikuwepo wengine .Wasaidizi wa Raisi wako wengi aweza mtuma yeyote Kama Kuna umbali Sio kumtoa huyo wa mgongoni .Mbona wako kibao tu na wanafahamiana akitaka kitu kwenye mkutano aweza chomoka yeyote akaenda. Akamkabidhi bosi wake bosi wake akamkabidhi msaidizi wake huyo wa mgongoni bila ya Huyo kutoka
Nimemwona Raisi akiwa Kongwa akitambulisha dereva na mlimzi mbele za wananchi SI sahihi na pia kumwita mlinzi wake kuacha lindo mgongoni na kwenda kuchangia SI sahihi huyo mlinzi kuacha guard post nyuma yake kwenda kufanya majukumu mengine.Hata pale ikulu Raisi alipokutana na wafanyabiashara alimtoa mgongoni yule mlinzi wake iakamwambia akachukue namba ya mfanyabiashara yule wa mbeya na akamwamuru yule mlinzi ampe namba Yake mlinzi .Mlinzi niliona anasita Lakini afanyaje akaitoa ile bba yake kwa mfanyabiashara biashara.Anachofanya Raisi kwenye Hilo nadhani Sio sahihi .Hawa watu wanawekwa mazingira magumu ya kazi .Mabosi wao nwelezeni mheshimiwa .
100%Unakubaliana na nape uyu mtu ni mshamba sana?
JamaaAmechanganyikiwa....Nimemwona Raisi akiwa Kongwa akitambulisha dereva na mlimzi mbele za wananchi SI sahihi na pia kumwita mlinzi wake kuacha lindo mgongoni na kwenda kuchangia SI sahihi huyo mlinzi kuacha guard post nyuma yake kwenda kufanya majukumu mengine.Hata pale ikulu Raisi alipokutana na wafanyabiashara alimtoa mgongoni yule mlinzi wake iakamwambia akachukue namba ya mfanyabiashara yule wa mbeya na akamwamuru yule mlinzi ampe namba Yake mlinzi .Mlinzi niliona anasita Lakini afanyaje akaitoa ile bba yake kwa mfanyabiashara biashara.Anachofanya Raisi kwenye Hilo nadhani Sio sahihi .Hawa watu wanawekwa mazingira magumu ya kazi .Mabosi wao nwelezeni mheshimiwa .
JamaaAmechanganyikiwaUnakubaliana na nape uyu mtu ni mshamba sana?
hakuna matata.Nimemwona Raisi akiwa Kongwa akitambulisha dereva na mlimzi mbele za wananchi SI sahihi na pia kumwita mlinzi wake kuacha lindo mgongoni na kwenda kuchangia SI sahihi huyo mlinzi kuacha guard post nyuma yake kwenda kufanya majukumu mengine.Hata pale ikulu Raisi alipokutana na wafanyabiashara alimtoa mgongoni yule mlinzi wake iakamwambia akachukue namba ya mfanyabiashara yule wa mbeya na akamwamuru yule mlinzi ampe namba Yake mlinzi .Mlinzi niliona anasita Lakini afanyaje akaitoa ile bba yake kwa mfanyabiashara biashara.Anachofanya Raisi kwenye Hilo nadhani Sio sahihi .Hawa watu wanawekwa mazingira magumu ya kazi .Mabosi wao nwelezeni mheshimiwa .
Nimemwona Raisi akiwa Kongwa akitambulisha dereva na mlimzi mbele za wananchi SI sahihi na pia kumwita mlinzi wake kuacha lindo mgongoni na kwenda kuchangia SI sahihi huyo mlinzi kuacha guard post nyuma yake kwenda kufanya majukumu mengine.Hata pale ikulu Raisi alipokutana na wafanyabiashara alimtoa mgongoni yule mlinzi wake iakamwambia akachukue namba ya mfanyabiashara yule wa mbeya na akamwamuru yule mlinzi ampe namba Yake mlinzi .Mlinzi niliona anasita Lakini afanyaje akaitoa ile bba yake kwa mfanyabiashara biashara.Anachofanya Raisi kwenye Hilo nadhani Sio sahihi .Hawa watu wanawekwa mazingira magumu ya kazi .Mabosi wao nwelezeni mheshimiwa .
Yule sio mlinzi, ni mpambe... Mbona akiwa anapokea zawadi za Rais hujasemea hilo kuwa atapoteza umakini? Kazi yake ni kumsaidia Rais mamno madogo madogo kama kupokea vitu