makokomakoko15
JF-Expert Member
- Aug 11, 2016
- 237
- 151
Hivi wewe mbona kila kitu ni,eti,eti,eti,we ni KE.sio sasa jitokeze basi tukuone sio unajificha nyuma ya key board halafu unaandika eti,eti,nyumbu wee
Kaandika akijua ndio maana ni kwa herufi kubwa
Damu ya Ben inamtesa Magufuli na itamtesa hadi anaingia kaburini, angekuwa hahusiki angeshaagiza Ben atafutwe hadi apatikane kwani vyombo vyote anavyo. Wazazi wa Ben wanamlilia, ndugu wa Ben wanamlilia, rafiki wa Ben wanamlilia na Watanzania wote wanaomuogopa Mungu wanamlilia mkuu wa vikosi vyote Tanzania. Wasiomlilia Ben ni wale tu waliomteka, wakamtesa na kuna hofu wamempoteza. Kosa la Ben lilikuwa kuvalia njuga swali la vyeti vya wasiogusika.Dah.... Profesa mshana jr.... Seyyid Cubenea anajua Ben alipo.... Mkimminya kengele anawaonyesha
Natamani niuone ukali wake pia kwa wanasiasa waovu watumiao vyeti vya kugushi na majina ya wengine katika nyadhifa zao.hapo nitaelewa somo.!!Nafikiri mnaweza mkaona sura yangu, ni inawezekana inatafsiriwa mtu katili, wa ajabu, siko hivyo, mimi ni mpole, mnyenyekevu, mwenye upendo mkubwa, ninayeogopa dhambi na mwenye hofu ya Mungu lakini ukweli mimi ni mkali kwa maovu’-Rais Magufuli.
my take: hiv rais amejuaje kuwa huenda anafsrika kuwa ni katili?
Sio Shabani, ni Marijani Rajabu, Jabali la Muziki!.Masudi amekua jambazi ukikutana naye njiani mpitie mbali, ama si hivyo atakudhuru mama... by Shaban marijani
Maovu yapi?? Vyeti vya yule jamaaaaa ??Tatizo mijitu mingi ni mitapeli na mijizi haiwezi kukupenda Rais wangu , ss wengine tunakuelewa ww nyosha nchi kuwa mkali kwa waovu
Bora hata ungekua na sura ya kikatili mkuu ila wewe una roho ya kikatili. Sura sio kazi yako kuiumba ila roho/moyo unaweza kuubafilisha yani utajiweka unavyopenda wewe mwenyewe.Nafikiri mnaweza mkaona sura yangu, ni inawezekana inatafsiriwa mtu katili, wa ajabu, siko hivyo, mimi ni mpole, mnyenyekevu, mwenye upendo mkubwa, ninayeogopa dhambi na mwenye hofu ya Mungu lakini ukweli mimi ni mkali kwa maovu’-Rais Magufuli.
my take: hiv rais amejuaje kuwa huenda anafsrika kuwa ni katili?
How?Anateswa na kivuli cha Ben