Kyachakiche
JF-Expert Member
- Feb 16, 2009
- 986
- 210
Jamani wanaJF nawaombeni mnisaidie kidogo mawazo yenu. Hivi rais aliye madarakani, na ambaye mshahara wake pamoja na marupurupu ni makubwa, ambaye hatumii hata senti moja kununulia ama sukari, unga, mchele, mafuta yawe ya gari au ya kula..nk, anapochangiwa hela za kuchukulia fomu za kuomba kazi ya urais, tena na wanafunzi ambao mara nyingi wamekuwa wakigoma kuingia madarasani kushinikiza wapatiwe mkopo na serikali anayoiongoza huyo rais, je, ni kujikomba, au nikumuonea huruma huyu rais masikini??
Ni mawazo tu yamenisumbua hadi kuwaulizeni wanajamvi wenzangu. Tujadili kidogo!!.
Ni mawazo tu yamenisumbua hadi kuwaulizeni wanajamvi wenzangu. Tujadili kidogo!!.