Revolutionary
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 456
- 86
Jamani naona sikuhizi Rais wetu anatia sana huruma katika hotuba zake, kama hana konfidens, yaani anakosa mashiko kama kiongozi! Naona huwa anaongea kama anakitu hakiko sawa, utadhani anahisi atarushiwa kiatu kama Bush hv! Tunuombee kheri na nguvu jamani!
Mungu mbariki Rais wetu!
Mungu mbariki Rais wetu!