nimeshindwa kuvidownload vile vitabu. ingawaje kama kuna aliyefanikiwa anaweza kunipa ninaweza kutoa password kwenye pdf document. anaweza kunipa nikatoa tukashare umasikini pamoja na wenzetu.
Noma katikà uwazi palikuwa na story moja Kali sana inaitwa Judge nieleze nini kitanipata , ---- baada ya hiyo kuisha ndio ikaja Raisi anampenda mke wangu
Noma katikà uwazi palikuwa na story moja Kali sana inaitwa Judge nieleze nini kitanipata , ---- baada ya hiyo kuisha ndio ikaja Raisi anampenda mke wangu
Jamaa alikua genious kwenye utunzi na uandishi, unaambiwa hadi bongo movies walishindwa kutumia stories zake sababu hawakua na bajeti 😀
Ni mtu ambaye alini inspire sana kwenye uandishi