Je, hii amri inafaa kwa waziri wa Zanzibar ambaye si wa muungano au ilibidi Shein ndiye amuamlishe..!! Ufafanuzi please!
Kwani bendera inayopeperushwa na hizo meli ni ya Zanzibar au JMT?.......ukipata jibu njoo tena!Je, hii amri inafaa kwa waziri wa Zanzibar ambaye si wa muungano au ilibidi Shein ndiye amuamlishe..!! Ufafanuzi please!
Hili ndio jibu sahihi sidhani kama kuna la zaidi.Theoretically, yes
Huyu ni bush lawyer!Tatizo humu hamna wanasheria wa kutuelezea kwa ufasaha,,, labda tumuulize huyu Petro E. Mselewa anaejiita Lawyer wa Lumumba
Asante sana kwa ufafanuzi mzuriGUYS MELI ZINAZOSAJILIWA ZINASAJILIWA ZANZIBA NAKUPEWA BENDERA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.KITENGO CHA USAJILI KIKO ZANZIBA.KWA KUWA SUALA LA MELI NI LA USALAMA WA TANZANIA NA SIYO ZANZIBA BASI MWENYE MAMLAKA YA MWISHO NI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. MENGINEYO YALIFANYIKA KIMAZOEA TU