Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,015
- 54,298
Kweli"Zanzibar sio nchi" By Pinda.
Kweli"Zanzibar sio nchi" By Pinda.
Yes anatetea bendera ya taifa manake hata mkenya anaweza kemewaAs long as hizo meli zinapeperusha bendara ya Tanzania, Magufuli is damn right.
Zanzibar wana bendera. Itumike hiyo kwenye meli wanazosajili kama wao ni sovereign state. Bure alichukiwa Mizengo Pinda. Zanzibar si nchi, ni sehemu ya JMT!
Huu upuuzi umefumbiwa macho kwa muda mrefu. Enough is enough.
Tatizo humu hamna wanasheria wa kutuelezea kwa ufasaha,,, labda tumuulize huyu Petro E. Mselewa anaejiita Lawyer wa Lumumba
Aaron
Raisi wa Serikari ya Muungano ambaye ndiye Mkuu wa Nchi na Amiri Jeshi yuko juu ya viongozi wote.
Uwe unatumikia serikari ya Muungano, ya Zanzibar, au sekta binafsi, jua yuko juu yako.
Mkuu,
Usidanganya umma.
Rais wa muungano hana mamlaka na mawaziri wa Zanzibar.
Mkuu,
Usidanganya umma.
Rais wa muungano hana mamlaka na mawaziri wa Zanzibar.
Hakuna namna ambayo unaweza kumkwepa Raisi wa Muungano na mamlaka yake
Yeye ndiye Mkuu wa Nchi, Yeye ndiye Amiri Jeshi Mkuu, na kama ni mwana CCM yeye ndiye Mwenyekiti wa Chama
Kupitia kote huko anaweza kukupangia majukumu kama ulikuwa huna, kukuongezea, kukupunguzia, pamoja na kukuadhibu pale unapokosea
Hakuna namna ambayo unaweza kumkwepa Raisi wa Muungano na mamlaka yake
Yeye ndiye Mkuu wa Nchi, Yeye ndiye Amiri Jeshi Mkuu, na kama ni mwana CCM yeye ndiye Mwenyekiti wa Chama
Kupitia kote huko anaweza kukupangia majukumu kama ulikuwa huna, kukuongezea, kukupunguzia, pamoja na kukuadhibu pale unapokosea
Unajua maana ya Chain of command kwenye management!As long as hizo meli zinapeperusha bendara ya Tanzania, Magufuli is damn right.
Zanzibar wana bendera. Itumike hiyo kwenye meli wanazosajili kama wao ni sovereign state. Bure alichukiwa Mizengo Pinda. Zanzibar si nchi, ni sehemu ya JMT!
Huu upuuzi umefumbiwa macho kwa muda mrefu. Enough is enough.
Tatizo humu hamna wanasheria wa kutuelezea kwa ufasaha,,, labda tumuulize huyu Petro E. Mselewa anaejiita Lawyer wa Lumumba
Chadema hakuna Lawyer mbumbumbu, ,nadhani unatambua iloPetro sio lawyer wa Lumumba
ni CDM kindakindaki ila sio nyumbu!
Ni nchi lakin sio dolaHapa lile swali kuwa Zanzibar ni nchi au sio nchi linahusika.
Amiri jeshi mkuu wa Tanzania akienda ZNZ mbona hapigiwi mizinga 21..wazee tumechoka tuambieni ukweliHapa lile swali kuwa Zanzibar ni nchi au sio nchi linahusika.