As long as hizo meli zinapeperusha bendara ya Tanzania, Magufuli is damn right.
Zanzibar wana bendera. Itumike hiyo kwenye meli wanazosajili kama wao ni sovereign state. Bure alichukiwa Mizengo Pinda. Zanzibar si nchi, ni sehemu ya JMT!
Huu upuuzi umefumbiwa macho kwa muda mrefu. Enough is enough.
Lugha ya hovyo na nadhani hata sura yako itakuwa ya hovyo.