Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,193
Ndiyo na ni suala la muda tu.
Mi naenda na kawe hatuchanjiiiii!!!!?tunachanjaaaaa!!!?
Huna msimamo ewe mwanamtoka pabaya!We unajua Urais ni Rahisi?
TANZANIA Bwana
Pengine hujui. Makamu wa rais ni ofisi, siyo jina la mtu.Makamu wa Rais to Rais Big No... Imekuwa kwa Samia Hassan kwasababu ya special case 😎
acha kuchenga chenga mambo hakuna asie jua hilo, umeweka picha ya nani na huyo ni nani sasa hivi ?Pengine hujui. Makamu wa rais ni ofisi, siyo jina la mtu.
acha kuchenga chenga mambo hakuna asie jua hilo, umeweka picha ya nani na huyo ni nani sasa hivi ?
Huna akili wewe ndio maana unakuwa mwepesi kuona wengine hawana akili. Rudia kusoma comment yangu ya kwanza na nilichokujibu baada ya ku quote ulicho andika ndio utajiona ulivyo mkurupukajiTatizo mijadala hii inatakiwa kugawanywa kwa viwango. Na hii ndio sababu mnawapa shida moderators kwa sbabu ya uwezo hafifu wa kuelewa. Pole sana.
Wewe unaota tu huyo hawezi kuwa Rais hata siku moja .Ajae yupo na sio huyo Mpango.
Naunga mkonyo hoja.Mi naenda na kawe hatuchanjiiiii!!!!?tunachanjaaaaa!!!?