Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
hongera kikwete kwa kuwaapisha wanatume ya katiba,sasa tunataka kazi sio maneno
Salaam,
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, anahutubia mara baada ya kuwaapisha wajumbe wa kamati ya Katiba.
Naona saburi lako linawashaNi kweli TUMEAPISHWA RASMI, tunawashukuru watz wote kwa imani yenu mliyoionyesha kwetu
Ameeeen
Wa Tanganyika msilalame kwani bado kuna nafasi ya kuipinga rasimu hiyo ya katiba kama mtaona haiwafai kupitia katika kura ya maoni.
Nawasihi muwe na subra ikiwa pamoja na kuipa Pumzi na ushirikiano Tume hiyo ili iweze kufanya kazi zake vizuri.
So ile tume yenye 2/3 waislam imepita?
badilisha heading
Wewe unaona itafanya kazi nzuri?Wa Tanganyika msilalame kwani bado kuna nafasi ya kuipinga rasimu hiyo ya katiba kama mtaona haiwafai kupitia katika kura ya maoni.
Nawasihi muwe na subra ikiwa pamoja na kuipa Pumzi na ushirikiano Tume hiyo ili iweze kufanya kazi zake vizuri.