Rais aapisha tume ya Katiba!

Rais aapisha tume ya Katiba!

Jamani hawa jamaa wanaoapishwa wengi watu wazima..vijana wachache sana jamani. .
 
Nawatakia wajumbe wote kazi njema! Bwana Mungu wa majeshi awape busara na hekima.
 
Naiona mahakama ya kadhi hiyoooooooooo, na Tanzania kujiunga na OIC. JK kamaliza kazi aliyotumwa.
 
Naipinga Tume hii kwa mambo makubwa 2

Kwanza,Mwenyekiti wa Tume Mzee Warioba kaisha chukua upande kuhusu muungano tuutakao aliposema mwezi uliopita kuwa mtanzania anayetaka serikali 2 ni wakuogopwa maana anataka kuvunja muungano!Wasiwasi wangu ni kuwa HATAYACHUKULIA kwa uzito maoni yangu kwani mm ni mmoja wa watz tunaotaka muundo wa serikali uangaliwe upya hasa kwenye mamlaka ya Rais wa ZNZ,Baraza lao la Wawakilishi na idadi ya Wabunge.ZNZ yenye watu si zaidi ya milion 2 kwa nn iwe na wabunge karibia 50 wa kuchaguliwa huku Mbeya yenye idadi ya watu zaidi ya ZNZ iwe na Wabunge wasiozidi 10?

Pili,iweje ZNZ yenye watu wasio zidi milion 2 tu itoe idadi sawa ya wajumbe wa Tume ya Katiba na TZ-Bara yenye watu zaidi ya milion 40?
 
Waacheni wajiapishe kwa hyo tume yao iliyojaa uali shaby,tume yetu makini ya katiba inakuja ikiongozwa na watu makini.
 
Hawa si walisema wamepeleka mbele tarehe ya kuapisha hii tume au
 
Naipinga Tume hii kwa mambo makubwa 2

Kwanza,Mwenyekiti wa Tume Mzee Warioba kaisha chukua upande kuhusu muungano tuutakao aliposema mwezi uliopita kuwa mtanzania anayetaka serikali 2 ni wakuogopwa maana anataka kuvunja muungano!Wasiwasi wangu ni kuwa HATAYACHUKULIA kwa uzito maoni yangu kwani mm ni mmoja wa watz tunaotaka muundo wa serikali uangaliwe upya hasa kwenye mamlaka ya Rais wa ZNZ,Baraza lao la Wawakilishi na idadi ya Wabunge.ZNZ yenye watu si zaidi ya milion 2 kwa nn iwe na wabunge karibia 50 wa kuchaguliwa huku Mbeya yenye idadi ya watu zaidi ya ZNZ iwe na Wabunge wasiozidi 10?

Pili,iweje ZNZ yenye watu wasio zidi milion 2 tu itoe idadi sawa ya wajumbe wa Tume ya Katiba na TZ-Bara yenye watu zaidi ya milion 40?

We waache wajifurahishe tu lakini ukweli ni kwamba huu muungano lazima tuuvunje, hauna tija tena kwetu, ulifaa kwa wakati wake lakini kwa sasa umepitwa na wakati
 
nina imani na tume ila sina imani na idadi wa TZ watakaojitokeza kutoa maoni katika tume hii ya katiba.
 
Salaam,
Rais Jakaya Mrisho Kikwete, anahutubia mara baada ya kuwaapisha wajumbe wa kamati ya Katiba.
 
Salaam,
Sikiliza Hotuba ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete, akihutubia mara baada ya kuwaapisha wajumbe wa kamati ya Katiba, nenda www.arushamambo.com kisha click kwenye ''Sikiliza Arusha Mambo FM...'' tutafurahi kupata maoni yako baada ya ku click LIKE kwenye page ya tunein na kwenye

Baadaye vipindi vya Bunge vitafuata.

Arusha Mambo.
Tuko pamoja.....
 
Rais naye amehutubia, sijui kwann huyo mtu hotuba zake hazina kabsa mvuto kwenye masikio yangu!
 
Wa Tanganyika msilalame kwani bado kuna nafasi ya kuipinga rasimu hiyo ya katiba kama mtaona haiwafai kupitia katika kura ya maoni.

Nawasihi muwe na subra ikiwa pamoja na kuipa Pumzi na ushirikiano Tume hiyo ili iweze kufanya kazi zake vizuri.
 
Back
Top Bottom