Raila Odinga ndani ya nyumba

Raila Odinga ndani ya nyumba

Zamaulid

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2009
Posts
20,012
Reaction score
16,106
Nimevutiwa na siasa za Kenya japo kwa hili...mgeni rasmi katika uzinduzi wa mashindano ya CECAFA yanayoanza leo nchini Kenya ni bwana Odinga mpinzani wa Kenyatta katika uchaguzi uliopita!je kibongo bongo hii inawezekana?!
 
Nini kingetokea kama hiyo ingekuwa huku kwetu?
 
Sijui hawa jamaa wamepeleka mashindano makubwa haha kwa ukanda wetu kwenye uwanja wa shule ya msingi?? ndio maana MUSONYE alikuwa hapendi mashindano kama haya yachezwe nje ya Tanzania kwani hata ushabiki na hamsha hamsha bongo tupo juu. Sasa hawa wajaluo na wakikuyu wamekaa chini ardhini watashangiliaje?
 
Kwa demokrasia wakenya wametuwacha mamia ya kilomita
 
Kibongobongo siku kama hizi wangekua wamezila na kusema hawashiriki shughuli zozote na kua hawamtambui mheshimiwa rais....
 
Inawezekana ikiwa wapinzani wataacha nongwa..... Kama Maalim kukataa kumpa mkono Shein kwenye mazishi imehusu wapi siasi mazikoni kwa watu
 
Mgeni rasmi? Yeye kama nani kiwadhifa katika serikali ya Kenya?
 
Nimevutiwa na siasa za Kenya japo kwa hili...mgeni rasmi katika uzinduzi wa mashindano ya CECAFA yanayoanza leo nchini Kenya ni bwana Odinga mpinzani wa Kenyatta katika uchaguzi uliopita!je kibongo bongo hii inawezekana?!


Kwa Tanzania haliwezekani kwa sababu Upinzani hauna nguvu, hawana uwezo wowote ule wa kuishinikiza Serikali ya TZ kufanya chochote, lkn Kenya Raila Odinga ana uwezo wa kufanya nchi isitawalike, hivi sasa ameshatishia kujiapisha hivyo ni lazima asikilizwe!
 
Bongo tff wanasema eti tunaogopa kufanya siasa hahahaaa
 
Back
Top Bottom