mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,316
baba ako kafa.Ashakufa mzee...
If you dont know ,now you know nigga!
baba ako kafa.Ashakufa mzee...
If you dont know ,now you know nigga!
Kumbe wakenya wana huduma bora za afya.sasa mbona wanakufa na corona?..
Akiliza wakenya ni NUSU
Siku zote unapoona habari imekewa alama hizi ' ' juwa kwamba mtoa habari hana uhakika na hiyo habari, huenda amenukuu toka kwa mtu fulani au chombo fulani cha habari.Unacheza na kifo hamna hasie kiogopa BBC swahili wana ofisi zao Nairobi hawawezi kuzusha habari nyeti kama hiView attachment 1722265
Thats Chattle old nigga is a dead meat...
Now you know!
Ukute ni michezo ya siasa, kalazwa yeye kuziba pengo la wambea 😁!Wameamua kutupoteza njia.
Aisee, swali la aina yake hili. Sio corona tu, wanakufa kwa magonjwa mengine pia. Lakini ukweli ndio huo: wana huduma bora zaidi za afya kuliko zetu.
Hata US, Europe, India, China, South Africa wana huduma za hali ya juu sana za afya lakini bado wanakufa kwa corona na magonjwa mengine. Nao akili zao ni nusu?