PrincessAnne
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 1,875
- 2,222
Uoga wao ndio umaskini wao wagome.wafanyakazi wa azam wanalipwa laki unusu.. ila wachezaji azam mamilioni ia hawagomi.. wapi wafanyakazi wa mohamed enterprises mshahara laki moja.. huku simba wanalipa watu milioni 10 kwa mwezi.. wapi manji na yanga na quality group staff