KALYOVATIPI
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 1,414
- 197
kweli tutaingia kwenye machafuko hadi wandengeleko wanapigana? Hawa jamaa walikuwa wastaarab sana ccm kwisha kabisa anguko lako linaonekana. Kuna baadhi ya mambumbu watauliza ccm inahusika nn? Nawajibu kabisa kwanini tumbo likitibua unachomwa sindano takoni?