washwa washwa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2012
- 1,613
- 717
Raia wanachoma matairi na wamefunga barabara eneo la Igunga kwa madai ya dereva wa Bajaji kuchinjwa pasipo Jeshi la Polisi kuchukua hatua. Jeshi la Polisi wasaidie kufungua njia wasafiri tuweze kuendelea na safari kwa kuwa ni zaidi ya muda wa saa moja kuanzia kuanza kwa tafrani hiyo.