Raia Mwema: CHADEMA iache kujidanganya

Raia Mwema: CHADEMA iache kujidanganya

Kwanza napenda kuwapongeza watanzania kwa kuwa watu wa kuyumbishwa na upepo....kwa sababu akijitokeza mtu akaeleza kile anachoamini nasi bila hata kujiuliza tunasadiki....hapa inahitajika qualitative research.
Pili uongozi hauna experience,ukisikia mtu anasema experience ujue ni uzoefu wa kufanya uozo bila wananchi wengi kujua.
Mwisho watanzania wanapenda mabadiliko na CHADEMA wameonekana kusimamia mabadiliko na wameji"differentiate" na kuji"position" kama chama cha wananchi....hivyo wananchi wanachukulia kama ni ground up!
Napenda kutoa rai kwa wanaodai CHADEMA ni chama cha ukanda..CDM imeshika hatamu mwanza,musoma,bariadi na maswa (lake zone)...mbeya,mbozi na iringa (nyanda za juu kusini)...arusha,arumeru,moshi (kanda ya kaskazini),singida mashariki (kanda ya kati)...ubungo na kawe (kanda ya mashariki) kigoma kaskazini (kanda ya magharibi)....CHADEMA kina wanachama wapagani,waabudu mizimu,waislamu na wakristo...sasa ukanda na udini ni kile mtu alichochagua kuona...ni kama kila mtu nimuulize anaona nini JF?
 
Ukweli ni kwamba kupoteza imani na kuchukiwa, ni rahisi sana, lakini kurudisha imani ni ngumu sana. Unaweza kumsamehe mwizi aliyekuibia, lakini kumwamini tena itakua ngumu! CCM imechukiwa, CDM imependwa, lakini kama kutatokea kuchukiwa CDM hakutarudisha mapenzi CCM! Ila ni kweli CDM wanatakiwa kutumia vyema udhaifu wa CCM kujijenga, wasilewe sifa na kufanya "madudu" ya CCM, maana Tanzania "hapendwi mtu" tunataka mabadiliko ya kweli. Mungu ibariki Tanzania.
 
well said
tatzo kenge wanaofuata mkumbo hawataki
tundu lisu ana dada yake mule amepewa kimagumash magumash,hatukatai mbunge kua na nduguye mbunge la hasha,swali ni jins walivopatikana kwa zengwe,
alipofarik marehem regia tunashangaa mrith wake chadema badala ya kumtoa kule moro wao wanakimbilia uchagan,
af jaman tuwe serious hili suala la kumpa mtu nchi nalo sio dogo hili??
Mtu kama mbowe ninampaje mamlaka ya nchi jaman?nimpe et kisa tuh anaweza kuzishupulia kesi za uozo wa mafisadi wa ccm au weledi wake wa uongoz na taadhima yake?
Chadema wana mengi ya kufanya ili kuqualify kuingia state house,wajipange had 2020/2025
ila kwa huu unaokuja waingize wabunge wengne wengi,then huo unaofuatia ndio tuangalie wako imara kias gan
waondoe ukabila,waondoe ukanda,waondoe udini n.k,ni vitu kama hivo vimeigharim cuf had kuporeza trust kwetu na kuonekana kama kibaraka
Hapo kwenye RED, mkuu si ungeuliza? Siku nyingine uliza kwanza kwa nini ilikuwa hivyo na si vile.
Kwenye BLUE, mkuu bado unazikubali hizi propaganda za CCM au nawewe ni mmojawapo anayeeneza hizo propaganda? CUF walikwenda chini sababu waliruhusu propaganda zisemwe bila kuzifanyia kazi na kujibu mashambulizi. CDM na CUF ni ngoma tofauti zinazochezwa kwa frequency tofauti kabisa. Anyway, lets wait and see who are smarter than others.
 
well said
tatzo kenge wanaofuata mkumbo hawataki
tundu lisu ana dada yake mule amepewa kimagumash magumash,hatukatai mbunge kua na nduguye mbunge la hasha,swali ni jins walivopatikana kwa zengwe,
alipofarik marehem regia tunashangaa mrith wake chadema badala ya kumtoa kule moro wao wanakimbilia uchagan,
af jaman tuwe serious hili suala la kumpa mtu nchi nalo sio dogo hili??
Mtu kama mbowe ninampaje mamlaka ya nchi jaman?nimpe et kisa tuh anaweza kuzishupulia kesi za uozo wa mafisadi wa ccm au weledi wake wa uongoz na taadhima yake?
Chadema wana mengi ya kufanya ili kuqualify kuingia state house,wajipange had 2020/2025
ila kwa huu unaokuja waingize wabunge wengne wengi,then huo unaofuatia ndio tuangalie wako imara kias gan
waondoe ukabila,waondoe ukanda,waondoe udini n.k,ni vitu kama hivo vimeigharim cuf had kuporeza trust kwetu na kuonekana kama kibaraka


Unapata wapi ujasiri wa kuuona UDINI wa CHADEMA na kuufumbia macho UDINI wa ccm? Ukisema CHADEMA ni wadini (Wakristo), lazima ccm itakuwa opposite na hli linatokana na ukanda....Kama unadai CHADEMA YA KASKAZINI, unapata wapi KIGUGUMIZI kusema kuwa ccm ya Pwani, na Tabora?
Acha ujinga na ufinyu wa mawazo, yaani sera ya UDINI Iliasisiwa na KIKWETE MWENYEWE na nyie mnaishuparia na kuwafanya CHADEMA tuonekane wadini na wakanda. Mwenyekiti wa ccm ndiyo MDINI MKUBWA HAPA NCHINI. Sasa kama KIKWETE NI MDINI, TENA MUISLAMU....CCM inajinasua vipi na UISLAMU? Unakumbuka matamko yaliyotolewa na Maaskofu na mashehe wakati wa mgogoro wa meya arusha? Kama chadema Wakristo, CCM waislamu....yote haya ameyaleta Kikwete kwa uroho wake wa madaraka, analifahamu hilo na bila hilo asingeliweza kushinda kwa mizengwe uchaguzi wa 2010.
 
hili mimi siliafiki,kwani kama simply watu wanaipenda cdm kwa kukosa mbadala basi kwa nini isipendwe tlp,cuf au nccr?.Tusiwape wananchi level ndogo namna hiyo ya uelewa.Naamini kuwa si kukosa mbadala bali ni sera na mwelekeo wa cdm ndo unawafanya wananchi wazidi kuipenda cdm.

Mkuu kwamba wananchi wanaipenda CDM kwa sababu ya sera zake wakati mwingine ni kujilisha upepo na kujidanganya bure! To be frank, hivi ni wananchi (I mean the real wananchi) wangapi wanaozifahamu sera za Chadema kwa kina? Jibu ni wachache mno na hicho ndicho anachoonya Mwandishi wa Raia Mwema kwamba CHADEMA wajitahidi kueneza sera zao hadi kwa mwananchi wa chini kwamba sera zikishawaingia vilivyo wananchi na wakazipenda then haitakuwa rahisi kuhama chama endapo upepo utabailika huko mbeleni. Mwandishi anatoa ushauri mzuri sana wa kukisaidia CHADEMA.

Hivi, niulize hivi sera za CDM zinapatikana wapi? Mimi binafsi sijui. Pamoja na maandamano na mikutano vijarida mbali mbali vyenye sera za chama viandaliwe, kusambazwa, na kufafanuliwa kwa wananchi na ufafanuzi huu utafanikiwa zaidi endapo chama kitakuwa na vyombo vyake vya habari - radio na TV. Lakini cha ajabu chama kinaonekana kama kimelala juu ya hili. Huu ni ushauri mzuri sana kwa wanaoona mbali.
 
Inawezekana mwandishi yuko sahihi lakini usahihi wake unapungua kwa sababu kuna vyama vingi vya siasa! Kungekuwa na vyama viwili tu vya siasa angekuwa sahihi mno japo si kwa 100%. Kwa nini watu waichukie CCM na kuipenda CDM na si CUF, NCCR, TLP na vingine vingi vilivyopo?! Mimi ninaamini, pamoja na kuchukiwa kwa CCM kuna mazuri pia ambayo CDM wamefanya ambayo yamewafanya waaminiwe!!
 
Wewe Lulu unamjulisha nani utumbo huo? Unamtahadharisha nani? Mla ni mla leo, mla jana kala nini? Kila zama na kitabu chake na la kuvunda halina ubani! Ccm bye bye, 2015 itapewa likizo ya kudumu! Nayo Chadema hali kadharika ukifika wakati wake itawekwa pembeni na mwingine kushika sukani. Hatutaki mtawala wa milele sisi.
 
Unapata wapi ujasiri wa kuuona UDINI wa CHADEMA na kuufumbia macho UDINI wa ccm? Ukisema CHADEMA ni wadini (Wakristo), lazima ccm itakuwa opposite na hli linatokana na
ukanda....Kama unadai CHADEMA YA KASKAZINI, unapata wapi KIGUGUMIZI kusema kuwa ccm ya Pwani, na Tabora?
Acha ujinga na ufinyu wa mawazo, yaani sera ya UDINI Iliasisiwa na KIKWETE MWENYEWE na nyie mnaishuparia na kuwafanya CHADEMA tuonekane wadini na wakanda. Mwenyekiti wa ccm ndiyo MDINI MKUBWA HAPA NCHINI. Sasa kama KIKWETE NI MDINI, TENA MUISLAMU....CCM inajinasua vipi na UISLAMU? Unakumbuka matamko yaliyotolewa na Maaskofu na mashehe wakati wa mgogoro wa meya arusha? Kama chadema Wakristo, CCM waislamu....yote haya ameyaleta Kikwete kwa uroho wake wa madaraka, analifahamu hilo na bila hilo asingeliweza kushinda kwa mizengwe uchaguzi wa 2010.

thinking capacity ya form four failure
people who are smart doesnt think in this way
the only liberation for our beautiful tanzania is KATIBA BORA N IMARA
NA WALA SIO KELELE ZA SLAA NA MBOWE DHIDI YA UFISADI WA CCM NA UOZO WAO
MBONA WANAPOGA KELELE TUH,NJIA MBADALA ZA KUBADILISHA HALI HALIZI MBONA HAWATOI KWENYE KAMPEN ZAO?AU WEWE HUENDI KUSKILIZA WANAPONAFI SERA ZAO?
Naona unaongea kwa jazba sana ila hazibadilishi hali halisi iliyopo chadema katika utaratibu wa kupata viongoz wao hasa hasa waandamiz wa chama,kilichojificha mioyon mwao ni kikubwa sana
tuna iman nao ila sio kwa kias cha kuwapa nchi hii kirahis ivo,bora hawa mafisadi tunajua tutatumia njia ya kura kuwaadhibu,na kuwaonesha chuki yetu waz waz,hao tusiowajua ya kwao yaliyofichika tunajiandaa nao vip?
Wafuasi wa ccm kwa kias kikubwa ndio wanaowapa nguvu chadema,madudu ya ccm wanayoyafanya yakiondoka chadema wakacheze segere
tanzanians we r not such dumb..!!
 
thinking capacity ya form four failure
people who are smart doesnt think in this way
the only liberation for our beautiful tanzania is KATIBA BORA N IMARA
NA WALA SIO KELELE ZA SLAA NA MBOWE DHIDI YA UFISADI WA CCM NA UOZO WAO
MBONA WANAPOGA KELELE TUH,NJIA MBADALA ZA KUBADILISHA HALI HALIZI MBONA HAWATOI KWENYE KAMPEN ZAO?AU WEWE HUENDI KUSKILIZA WANAPONAFI SERA ZAO?
Naona unaongea kwa jazba sana ila hazibadilishi hali halisi iliyopo chadema katika utaratibu wa kupata viongoz wao hasa hasa waandamiz wa chama,kilichojificha mioyon mwao ni kikubwa sana
tuna iman nao ila sio kwa kias cha kuwapa nchi hii kirahis ivo,bora hawa mafisadi tunajua tutatumia njia ya kura kuwaadhibu,na kuwaonesha chuki yetu waz waz,hao tusiowajua ya kwao yaliyofichika tunajiandaa nao vip?
Wafuasi wa ccm kwa kias kikubwa ndio wanaowapa nguvu chadema,madudu ya ccm wanayoyafanya yakiondoka chadema wakacheze segere
tanzanians we r not such dumb..!!

duh! Gamba at its best.
Povu linakutoka lakini haikusaidii.
 
Sielewi kosa la mwandishi ni lipi maana nahisi ametoa maoni yake.Tatizo letu watanzania tunaamini wanasiasa ni kila kitu hapa kwetu wakati mnaolala njaa kwenu eti mwanasiasa hajaleta msosi kwenu najua ni wachache.
Kuhusu hoja ya mwandishi nami namuunga mkono si kwamba amewadhalilisha bali anawapa molali ya kufanya kazi,
kuandaa viongozi bora. Sioni tofauti kubwa ya uongozi ktk CHDM to make the difference ktk chama ambacho hakijaandaa viongozi kikitegemea wale watakao anguka kura za maoni CCM waamie chama chao.You can't get the picture mtu leo CCM, kesho eti kahama amechukua kadi ya \CHDM, na fomu ya kugombea. Huyu atafanya ya CCM, au ya CHDM?
Kama unakataa si unamjua SHIBUDA, walipopinga posho wenzie alisemaje? si alidai iongezwe twice? nani alithubutu kumwajibisha? si uozo huo? na kama mnahisi mabadiliko hayawezekani mbona akina Kafulila waliotoka kwenu hamkuwashinda? Je huoni kwa vile hawakuwa na sura ya NCCR waliandaliwa chadema wana act uchadema badala ya u nccr? Msifurahie viongozi wengi CCM kuhamia huko mtakurupuka nao, mwisho watawaaribia na kinachofanywa mpendwe kitawafanya waichukie. Afu mnajua hatari ya timu kuwategemea wachezaji wachache? CCM walimchukia JK, CDM wakampenda SILAA, unafikiri changes zilisubiri Mbowe asigombee noooo, watu wampenda SILAA na si chademana subiri akistaafu uone si unajua hata CCM ilikuwa nao akina nyerere na OSCA, leo je? MREMA yupo wapi?
Am + narudia siasa ni mchezo mchafu ndo maana hakuna msafi... USIIBE ILI WAKIIBA UWAKAMATE.TIMIZA WAJIBU WAKO
 
eti mpendazoe juzi juzi hapa alikua mbunge wa magamba kishapu,yamemshinda yaliyomshinda huko,katapa tapa na uasisi wa ccj ulivomshinda chadema ikamuona mtu safi kutuletea watu wa tabata awe mwakilishi wetu..!
What a shame..!huyu mtu alikua kwa hao mnaowaita mafisadi kesho unakuja kumndai mbele yetu
chademaaa>>vemaaaaaa..!
Peoples>>>poweeeeeeer
mpendazoe mtu safi mpeni kura..!
Then useme ni chama imara,,kweli??
U cant be serious mbowe..!
Wewe pako ni club bilicanas tuh
state house sahau...!
We are smarter than that,,chadema needs more time to be competent...
 
Kwa maana hiyo, mwisho wa kuchukiwa CCM ndio pia mwisho wa kupendwa Chadema au? Naomba ufafanuzi.

chadema sasa hivi wana wafuasi wengi vijana ambayo utakuta wengi wao hawajajiandikisha kupiga kura kwa hiyo utaweza kuona wanajazana wengi kwenye mikutano yao ya hadhara lakini inapokuja zoezi la kupiga kura, hawawezi kupiga kura kwa sababu hawajajiandikisha, cdm wanajua hilo. wafuasi wa ccm wengi ni watu wazima ambao wamekua wakipiga kura miaka nenda rudi ndio mana nasema sasa hivi chadema inashinda sehemu nyingi kwa sababu pia wanapata kura za wana ccm ambao ni wapiga kura wa siku nyingi.

Mi mwenyewe najua watu wengi tu ambao walikua ni ccm damu ambao wanawapigia kura cdm sasa hivi kisiri siri lakini watu hawajui na nikiwauliza 2015 watakua ccm au cdm wanasema hawajui inategemea wakati huo mgombea wa ccm atakua ni nani na hali ya nchi itakuaje :confused2:
 
Na nani aliyekudanganya wananchi wanaipenda chadema? wanaoipenda chadema ni wafuasi wachache wanaifata kwa ukabila na udini wao.

Kama hoja yako ni ya kweli, basi CDM kinapendwa sana na Watz wengi. Kwa sababu kama wanapendwa sana na watu wa dini basi ni dhahiri kwamba wanapendwa na watu wengi kwasababu watu wenye dini Tz ni wengi zaidi ya watu wasio na dini. Na kama wanapendwa zaidi na watu wenye mitazama ya kikabila basi ni dhahiri kwamba CDM wanapendwa na watu wengi zaidi kwasababu mikoa inayokaliwa na makabila makubwa Tz yanamlenga wakuipenda cdm mfano Mwanza, Dar, Shinyanga, Arusha, Mbeya.... Kwa hiyo uko sahihi kwa kauli yako hiyo, japo haina masilahi kwa chama chako kinachopiga mbio kuelekea kaburini.
R.I.P CCM-Tulikupenda sana lakini shetani amekupenda zaidi akakutwaa. Jina la CDM libarikiwe!!!
 
Kama hoja yako ni ya kweli, basi CDM kinapendwa sana na Watz wengi. Kwa sababu kama wanapendwa sana na watu wa dini basi ni dhahiri kwamba wanapendwa na watu wengi kwasababu watu wenye dini Tz ni wengi zaidi ya watu wasio na dini. Na kama wanapendwa zaidi na watu wenye mitazama ya kikabila basi ni dhahiri kwamba CDM wanapendwa na watu wengi zaidi kwasababu mikoa inayokaliwa na makabila makubwa Tz yanamlenga wakuipenda cdm mfano Mwanza, Dar, Shinyanga, Arusha, Mbeya.... Kwa hiyo uko sahihi kwa kauli yako hiyo, japo haina masilahi kwa chama chako kinachopiga mbio kuelekea kaburini.
R.I.P CCM-Tulikupenda sana lakini shetani amekupenda zaidi akakutwaa. Jina la CDM libarikiwe!!!
too bad in deed if that is where elastic point of ur thinkin capacity has reached its end..
 
"CHADEMA isichezee wala kuchukulia kiurahisi wakati wake huu wa kupendwa na wananchi. Isije kujidanganya kuwa itaendelea kupendwa vyovyote vile. Viongozi wake wasije kujivika kilemba cha ukoka wakiamini kuwa wanapendwa kwa sababu wao ni vijana, wanazungumza vizuri, wanavaa magwanda vizuri n.k.

Wajue kabisa wanapendwa kwa sababu watu wameamua kuikataa CCM “na mambo yake yote”. CHADEMA hawawezi kudai kuwa ni haki yao kupendwa au kuungwa mkono kwani historia ina mafunzo mazuri kweli – si hoja mtawala anapendwa vipi, siku moja anaweza kuchukiwa. " Gazeti Raia Mwema ikiandikwa na LULU WA NDALI MWANANZELA

Mkuu mbona mimi cdm ni kama ugonjwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom