eti mpendazoe juzi juzi hapa alikua mbunge wa magamba kishapu,yamemshinda yaliyomshinda huko,katapa tapa na uasisi wa ccj ulivomshinda chadema ikamuona mtu safi kutuletea watu wa tabata awe mwakilishi wetu..!
What a shame..!huyu mtu alikua kwa hao mnaowaita mafisadi kesho unakuja kumndai mbele yetu
chademaaa>>vemaaaaaa..!
Peoples>>>poweeeeeeer
mpendazoe mtu safi mpeni kura..!
Then useme ni chama imara,,kweli??
U cant be serious mbowe..!
Wewe pako ni club bilicanas tuh
state house sahau...!
We are smarter than that,,chadema needs more time to be competent...
Na nani aliyekudanganya wananchi wanaipenda chadema? wanaoipenda chadema ni wafuasi wachache wanaifata kwa ukabila na udini wao.
Mara zote nimekua nabeza falsafa ya chadema ya nguvu ya umma,chadema wajue baada ya kuchukua madaraka nguvu ya umma hujitenga na watawala! hoja ya raia ina uzito mkubwa sana
well said
tatzo kenge wanaofuata mkumbo hawataki
tundu lisu ana dada yake mule amepewa kimagumash magumash,hatukatai mbunge kua na nduguye mbunge la hasha,Khakha uko wapi kila mmea una mizizi yake kama huana mizizi ni mfu na uongoz haingalii undugu unaangalia uwezo kwamfano CCM mizizi yake iliikua Musoma na taarifa tunazo huwakuzungumzia undugu na tumeishi nao kwa miaka hamsini sasa...
well said
tatzo kenge wanaofuata mkumbo hawataki
tundu lisu ana dada yake mule amepewa kimagumash magumash,hatukatai mbunge kua na nduguye mbunge la hasha,Khakha uko wapi kila mmea una mizizi yake kama huana mizizi ni mfu na uongoz haingalii undugu unaangalia uwezo kwamfano CCM mizizi yake iliikua Musoma na taarifa tunazo huwakuzungumzia undugu na tumeishi nao kwa miaka hamsini sasa...
aisee kumbe?