Masalu Jacob
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 948
- 1,092
Habari Tanzania !
Kwa wewe mzalendo au mpenda biashara nakusihi unaweza anzisha kiwanda cha mafuta ya kula kwa kuchakata mahindi kuwa mafuta.
Katika bidhaa hii mahindi ya njano ndio malighaifi pekee inayochakatwa na kuwa mafuta ya kupikia kwa kukamuliwa na mitambo.
NB
a) Mahindi yapo.
b) Ardhi ipo ukitaka kulima.
c) Mtaji ni mdogo sana kuanzisha na kukiendesha kiwanda.
d) Soko la mafuta ya kula / kupikia lipo.
e) Kazi ni kwako boss mtarajiwa.
Karibu.
Kwa wewe mzalendo au mpenda biashara nakusihi unaweza anzisha kiwanda cha mafuta ya kula kwa kuchakata mahindi kuwa mafuta.
Katika bidhaa hii mahindi ya njano ndio malighaifi pekee inayochakatwa na kuwa mafuta ya kupikia kwa kukamuliwa na mitambo.
NB
a) Mahindi yapo.
b) Ardhi ipo ukitaka kulima.
c) Mtaji ni mdogo sana kuanzisha na kukiendesha kiwanda.
d) Soko la mafuta ya kula / kupikia lipo.
e) Kazi ni kwako boss mtarajiwa.
Karibu.