Mfikirishi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,495
- 8,539
Mkuu asante sana... Gharama ya kuanzisha kiwanda kidogo cha kukamulia mafuta ya alizeti ni shilingi ngapi?Boss hii haiwezi kuwa biashara viable.
Umepata wapi tafiti ya hesabu gunia moja la mahindi linatoa mafuta kiasi gani?
Gunia moja la KG 100 haliwezi kutoa lita 10 ya mafuta mzee. Sasa gunia la mahindi ya njano la kilo 100 unaijua bei yake?
Kama gunia moja linauzwa 100k na litoe lita 10. Lita 10 itauzwa shilingi ngapi?
Ndio maana unaona mpaka leo hatuna mafuta ya karanga unajua ni kwanini?
Gunia moja la karanga la kilo 60 linauzwa 170,000 na gunia hilo hilo ukikamua linatoa lita 15 za mafuta.
Lita moja ya mafuta ya karanga iuzwe shilingi ngapi ili tupate faida?
Mimi nipo kwenye industry ya mafuta ya kula ya alizeti nina plant najua ninachokiongea.