Raha za Peponi

Raha za Peponi

Status
Not open for further replies.
Unafikiri nakunywa bar za uchoroni kama wewe bwashee? nimetoa mtazamo wangu tu hata humu waislam wengi wana busara sana kuliko wanaojiita Wakristo
Huku Mbeya watu ni wakarimu sana
Na ni majority Christian Region, pia nimekulia mkoa wenye waislamu wengi sana kwa hiyo marafiki zangu wengi walikuwa waislamu, ukiachana na kuniita kafiri mara kwa mara lakini bado walikuwa wakarimu sana
Hii Tanzania imejaa watu wazuri wengi tu, wa dini zote mbili

Watu wanasema Wazanzibari wabaguzi, sijaishi nao so sijui, hao ni wa huko visiwani. Ila huku bara naonaga wote tu Wakristo kwa waislamu ni watu wazuri
 
Niliacha kwenda kanisani na misikitini ka sababu: wasabato ni wanajifanya wanasayansi na kujifanya kuwa wao hawana shida maishan kilichoniudh zaid ni lile somo cjui la nchi za ngambo cjui la mataifa na kanisa halina milango.

2. Walokole kwa kunitoa hela ati maji ya baraka na vibahasha vya michango kama vyote na kuigiza ati wanaombea wehu, viwete, na vilema kumbe ni watu wao waliokochiwa,

3. Islam ni ubaguzi wakujiona wao ndio wao mara eti bikra 72 wanasubiri mtu akifa huko cjui mbinguni. Tangu lini Ali wa gongo la mboto,yusuph masanja wa ilemela ibra wa soweto akapangiwa vibikra na kwanza nani kwapanga hao vibikra.

4. Catholic ni baada ya kujua kua padre hawaoi lakini wao wanafungisha ndoa na kuhubiri pamoja na kushaur maswala ya ndoa. Nilitorokea dirishani hadi wa leo sijawai rudi.

5. Kkkt ni baada ya kugundua kuwa ni mtoto wa roma nkajua mtoto wa nyoka ni nyoka tu na sio kinyoka coz kama mtoto hakumsikiliza babake yeye akaasi atanihubiria nin yule

FREE Lissu ndo nimeanza glass ya kwanza ya konyagi
 
Niliacha kwenda kanisani na misikitini ka sababu: wasabato ni wanajifanya wanasayansi na kujifanya kuwa wao hawana shida maishan kilichoniudh zaid ni lile somo cjui la nchi za ngambo cjui la mataifa na kanisa halina milango.
2. Walokole kwa kunitoa hela ati maji ya baraka na vibahasha vya michango kama vyote na kuigiza ati wanaombea wehu, viwete, na vilema kumbe ni watu wao waliokochiwa,
3. Islam ni ubaguzi wakujiona wao ndio wao mara eti bikra 72 wanasubiri mtu akifa huko cjui mbinguni. Tangu lini Ali wa gongo la mboto,yusuph masanja wa ilemela ibra wa soweto akapangiwa vibikra na kwanza nani kwapanga hao vibikra.
4. Catholic ni baada ya kujua kua padre hawaoi lakini wao wanafungisha ndoa na kuhubiri pamoja na kushaur maswala ya ndoa. Nilitorokea dirishani hadi wa leo sijawai rudi.
5. Kkkt ni baada ya kugundua kuwa ni mtoto wa roma nkajua mtoto wa nyoka ni nyoka tu na sio kinyoka coz kama mtoto hakumsikiliza babake yeye akaasi atanihubiria nin yule
FREE Lissu ndo nimeanza glass ya kwanza ya konyagi
Bila shaka we ni muha!
 
Waislam ni watu wenye busara sana na waadilifu ,nenda sehemu au ofisi za umma hudumiwa na muislamu halafu na mkristo halafu pima , muajiri muislamu kwenye biashara yako halafu muweke mkristo halafu pima , kwenye maisha ya kawaida kabisa wanachofundishwa Waislam kina impact chanya kwa umma zaidi ya walokole
Busara ni tabia tu ya mtu haina uhusiano na dini yake. Hii observation umeijenga kwa kutumia sampuli gani?
Tukija kwenye mafundisho ya dini hizi mbili, Dini ya kiislam inajulikana kwa mafundisho hardcore, makundi mengi sumbufu hapa duniani ni ya kiislam/yanatumia dini ya kiislam kupata uungwaji mkono. Hapa utasema kuna busara?
 
Busara ni tabia tu ya mtu haina uhusiano na dini yake. Hii observation umeijenga kwa kutumia sampuli gani?
Tukija kwenye mafundisho ya dini hizi mbili, Dini ya kiislam inajulikana kwa mafundisho hardcore, makundi mengi sumbufu hapa duniani ni ya kiislam/yanatumia dini ya kiislam kupata uungwaji mkono. Hapa utasema kuna busara?
Hayo makundi unayoyasemea yafuatilie vizuri utayajua undani wake , ila waislamu wengi hasa walio shika dini yao vizuri mara nyingi ni watu wenye busara na waaminifu mno , nimeajiri kwenye vibiashara vyangu makundi yote haya ila waislam ndio walioonyesha uaminifu wa hali ya juu , hivyo naongea ninachokijua kwa undani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom