Ni kweli kbs.Kuna style zingine kwa mademu wafupi huwa wanaumia mfano dog style huwa inagonga ukuta Fulani sijui hata ni ukuta gani ule.
Ikigonga ukuta utasikia unaniumiza tumbo..sitaki hii style naomba tubadilishe utaharibu kikazi.
Hivi ni kweli au uvivu tu wa hawa watoto?
Kasoro gani?It's Your Research,
Ni utafiti uliogemea zaidi hisia za moyo wako.
Ni utafiti wa hisia kuliko uhalisia, Kiasili wanawake wafupi ni Walpole sana na wenye huruma. Wanawake wembamba na warefu in wakorofi na wenye roho mbaya.
Anyway, Nimesoma na kuuelewa utafiti wako ingawa una kasoro.
Huo mguu tu huko juu sijui papoje..Hongera zakoHujakutana na mrefu wewe, utajiliuza ulikuwa wapi kuhangaika na wafupi.
Ww ni mrefu nnHujakutana na mrefu wewe, utajiliuza ulikuwa wapi kuhangaika na wafupi.
Dada mtu anakusifia tu,usione kua ni adui aiseeeh!Hunifahamu wewe!!!!!!!
Sijamuona adui my friend, ila kama vile ananifahamu. Bt ndo jf ilivyo.Dada mtu anakusifia tu,usione kua ni adui aiseeeh!
Mkuu tupia picha zao ili tujiridhishe na huo ufupi wao unaosema.Nawasalimia wana JF.
Hebu leo ngoja niongelee ka utafiti kangu nilikokafanya. Kwanza mimi ni mrefu wa wastani naweza kusema nipo na 180.3cm.
Nimetokea kuwapenda sana wanawake wafupi. Kwanza hawa wanawake wanajituma sana katika kila kona.
Ni wabishi sana na hawapendi kushindwa. Pia ni wakorofi sana hawapengi kuona msichana mwingine anachukua bwana wake. Lazima kinuke.
Wanawake wafupi walio wengi ni wasafi sana wanapenda kuvaa vizuri. Kwa kweli ule ukorofi wao huwa naupenda sana nahisi ninapendwa na nipo na ulinzi.
Halafu hawa wanawake walio wengi wanajua kupika tena chakula kizuri sana.
Hawa wanawake wafupi hupenda kuonesha mahaba kwa wapenzi wao. Wapo tayari kupigana busu la ulimi hadharani bila hata woga. Huonesha hisia zao hadharani bila kuficha.
Kwa kweli kutokana na uafiti wangu huu wa sample ya watu kadhaa. Watu wafupi wamepata 79% katika kuonesha mapenzi ya dhati. Na kwakweli wanatoa raha ya ukweli. Walio wengi sio magogo.
Nawasilisha hoja.
Ndugu ninakwambia hii ni reseach nimefanya mwenyewe.
Raha ya chungwa mpate mmenyaji na raha ya nazi mpate mkunaji.
Kusema kweli wanawake warefu wanaulemavu katika tendo la ndoa.

Hahahaa nimecheka balaaNaongezea... , akitaka kukuchumu anapanda kwenye kistuli....