bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
Hapa kinaendelea nini. Nihabarisheni chapchap nianze kumwaga busara zangu!
nyumba ndogo, sema hapa biggie are you for or against????
Hapa kinaendelea nini. Nihabarisheni chapchap nianze kumwaga busara zangu!
Hapa kinaendelea nini. Nihabarisheni chapchap nianze kumwaga busara zangu!
utamu wa nyumba ndogo
utamu wa nyumba ndogo
Nyumba ndogo zinasaidia kushape nyumba kubwa.
Rudisha jina lako lile la Naniliu. We vp umesha chumbiwa?[/QUOTE]
kazi kweli kweli
...of course nyumba ndogo inapunguza stress kwa kujituma zaidi wakati wa mavituuuuuuuzi!
nyumba ndogo, sema hapa biggie are you for or against????
muoe
amri za Mungu: 'usitamani mwanamke asiye mke wako'
Nyumba ndogo zinasaidia kushape nyumba kubwa.
Rudisha jina lako lile la Naniliu. We vp umesha chumbiwa?
Angalia hii ni post yangu ya ngapi?
Baba yangu hajawahi kuwa na nyumba ndogo.
Naweka heshima kwake kwa posti hii.
Manake mida hii miaka mingi iliyopita alirudi home fasta akamkamata maza aliyekuwa analia kwa uchungu wa kunizaa.
Kesho asubuhi ntazaliwa!
AM AGAINST NYUMBA NDOGO!
Angalia hii ni post yangu ya ngapi?
Baba yangu hajawahi kuwa na nyumba ndogo.
Naweka heshima kwake kwa posti hii.
Manake mida hii miaka mingi iliyopita alirudi home fasta akamkamata maza aliyekuwa analia kwa uchungu wa kunizaa.
Kesho asubuhi ntazaliwa!
AM AGAINST NYUMBA NDOGO!
I was just thinking aloud! Don't get me wrong!
I love you biggie brother!!! na kesho naifike haraka basi I just cant wait!!!!
hilo lisiwatishe tutaimport frm chine wanaume wamekuwa wengi.....
hahaaaaa sasa kumbe acha niwatoe wasiwasi wenzangu na mie ili wasirukie ndoa za wenyewe mweeeee!!!!
huko uchina men kibao wakosa wasichana wa kuoa wanaoa vibibi, tutafanya negotiation na uhamiaji watusaidie
Warembo hapo mmechemsha! Wachina? Ni feki mpaka hizo bidhaa za ndani! Mtayakosa yale mapigo ya kiswazi, shauri lenu! Wanazo tiny tiny ones.....
wih the use of Dr Manyukis herbs we can make the tiny ones bigger!!!
wih the use of Dr Manyukis herbs we can make the tiny ones bigger!!!
Kama ni ngumu, then hakuna haja ya kuwa nayo hiyo nyumba ndogo...cjui ataanzaje?...mnadhani ni cmple kihivyo.
siku ingine kitu cha hivo think silently!!! sawa sweetie!!!!
haya we unayo au ndo hiyo ya rafiki yako unaitolea macho??
nilikutega niuone hw true you were!!!!Nimekuelewa sweetie! Mimi sina nyumba kubwa wala ndogo! Umesahau tuko wote kwenye ile klabu yetu ya walioamua kupumzika kwa muda hayo makitu?