Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 78
ndio nyie mnaeneza ukimwi .sidhani unatumia kondomu kwa hiyo nyumba ndogo
Utakuwa na raha kuwa na nyumba ndogo tu kama utaitambulisha kwa nyumba kubwa.
Kwa kweli ni kero,niliwahi kuwa nyumba ndogo ya mtu bila kujijua kwa kiwango kikubwa aliniharibia future yangu tulipoachana watu hasa vijana (waoaji)walianza kuniogopa it was very bad.
Kwa kweli ni kero,niliwahi kuwa nyumba ndogo ya mtu bila kujijua kwa kiwango kikubwa aliniharibia future yangu tulipoachana watu hasa vijana (waoaji)walianza kuniogopa it was very bad.
kuna binti mmoja tulikuwa nae ofcn, nae alidanganyika na mume wa mtu kwamba atamwacha mkewe amuoe, yaani unashangaa huyu mtu ana akili za wapi, hakunaga mwanaume anaeacha mkewe na kuoa kimada, huko wanaendaga tu kwa tamaa zao lakini nyumbani wanarudi na adabu zao tele,kwanza mapenzi yenyewe mnayopewa huko ya chap chap mbaba arudi kwa mkewe....hebu fungukeni bwana hawa waume wanawachezea tu.
Hii yako ilikuwa imekaa vibaya zaidi. Ni bora angekwambia mapema kwamba wewe ni nyumba ndogo. Alikuwa Msabato? Maana Wasabato huwa hawavai pete za ndoa!