popoma
JF-Expert Member
- May 5, 2017
- 2,378
- 3,362
Mimi naongea ukweliPopoma noma, yani watu wanapiga mti mpk sabuni![]()
Mimi naongea ukweliPopoma noma, yani watu wanapiga mti mpk sabuni![]()
Wewe ndio kubwa la maadui95% ya Mademu ninaowapata na ' Kuwabaiolojia ' kunakotukuka hukutana nao katika ' Madaladala ' na ndiyo maana hata ' Marafiki ' zangu wengi wakinikuta katika Vituo vya ' daladala ' na kusimamisha magari yao ili wanipe ' lifti ' huwa nawakatalia ' katukatu ' kwakuwa naona watanikosesha ' burudani ' yangu kubwa ninayoipata katika kusafiri na ' public shuttles '.
Nilikuwa nataka nikutongozeKero tupu, watu hawaogi na hili jotroo gari linanuka kama banda la mbuzi
Daaaah.. Mkuu utakua na ukame wa hatari!Mimi napendaga kpnd kile cha mbanano ukute chura ya maana imekubana loooh hadi unakojoa
Ilikuwa zaman kpnd nasoma pale Benjamin saiz mtu mzima mimiDaaaah.. Mkuu utakua na ukame wa hatari!
na hasa kama kuna kafoleniKusinzia ukishapata seat...wenye magari yao hawawezi
Where's she nowadays. ...Cc.
Hutowapata kamwe?? are you sure.Ni sehemu ya kukutana na watoto wakali,ukijifungia kwenye gari lako hutawapata kamwe

Hahaaaaaaa tena iwe asubuhiKusinzia ukishapata seat...wenye magari yao hawawezi
Kila jambo lina faida na hasara zake.
Pamoja na kuwa na kero nyingi sana kwa kutumia usafiri wa Daladala kwa mihangaiko ya kawaida pia kuna raha yake ya kutumia usafiri huu ukilinganisha na anayetumia usafiri binafsi(private car).
Ebu tiririka jambo hata moja tu ambalo kwa kutumia usafiri wa Daladala limewahi kukupa raha kwa namna moja au nyingine na hutoweza kujutia kutumia usafiri huu japo mara nyingi inauma sana kutokana na kero zake lukuki.
Karibuni tutiririke
Kwahiyo watoto wa buza kwa lulenge Ndio wadada wawe wachafu wachafuKukutana na demu mkali kila idara lakini hata siti kakosa. ananukia pafyumu kali pamba kali simu kali, ngozi ya chokoleti, lugha yetu ile inapanda kinoma halafu anshukia buza kwa lulenge.
Ishanitokeaga hiyo nimetoka kariakoo badala ya kushuka kimara korogwe nikajikuta nipo temboni, tena usingizi wa daladala rahaa pamoja na zile kelele bado mtu unalala kama nyumbaniMara paap umepitishwa kituo
Kwahiyo watoto wa buza kwa lulenge Ndio wadada wawe wachafu wachafu
Haya banaSina maana hiyo Beef Lasagna ila madem dizaini hiyo ni komoni kule kwenye maeneo yenu. Mbona wewe hatujakutana kwenye daladala?
Kuna siku katika kugombania daladala suruali akitatuka sehemu ya kukali yote, nilisitiriwa na shati ndefu
Hahaha....Utasikia konda anasema
Twende njoo ukae, hapo mbele shangazi geukia nyuma, mama sogea nyuma kidogo, dada hapo simama vizuri, kaka mpishe bibi apite, Tip top, manzese hakunaaa......Argentina acha...haya sogea mbele na nauli mkononi.
Wanaume sijui mpoje.Mimi napendaga kpnd kile cha mbanano ukute chura ya maana imekubana loooh hadi unakojoa