Sasa kama tunagonga sabun hafu iwe kuku
watoto wazuri mkuuPini??
Samahani lakini wewe ni ke au me??watoto wazuri mkuu
Saana tu lakini uwe kauzuUkiwa na umbea wowote umwage kwenye daladala asubuhi wakati watu wanakwenda makazini. Ikifika jioni utakuwa umeenea Dar nzima.
watoto wazuri mkuu
huu usafiri unaniburudisha sana hasa unapokutana na wadada wazuri wenye chura na maumbo mazuri halafu bahati gari iwe imejaa na wewe umesimama nyuma yakeKila jambo lina faida na hasara zake.
Pamoja na kuwa na kero nyingi sana kwa kutumia usafiri wa Daladala kwa mihangaiko ya kawaida pia kuna raha yake ya kutumia usafiri huu ukilinganisha na anayetumia usafiri binafsi(private car).
Ebu tiririka jambo hata moja tu ambalo kwa kutumia usafiri wa Daladala limewahi kukupa raha kwa namna moja au nyingine na hutoweza kujutia kutumia usafiri huu japo mara nyingi inauma sana kutokana na kero zake lukuki.
Karibuni tutiririke
Hii wanaipata wengi mkuu, sema hapa wataona aibu kujitokezaMimi napendaga kpnd kile cha mbanano ukute chura ya maana imekubana loooh hadi unakojoa
Mhh umbea mwaga kwenye whattupp group uone sekunde kumi nyingi TZ nzima imeshapata habariUkiwa na umbea wowote umwage kwenye daladala asubuhi wakati watu wanakwenda makazini. Ikifika jioni utakuwa umeenea Dar nzima.
Acha waone aibu nyuma ya keyboard ananijua nani??Hii wanaipata wengi mkuu, sema hapa wataona aibu kujitokeza
Njoo kwangu utaionaSo far sijaona raha ya daladala
Kigugumizi cha vidole mkuu, [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Acha waone aibu nyuma ya keyboard ananijua nani??
Sio kina mtu anaweza kuona raha,raha kwa mwingine ni Kero.Ila wazee wa mtongozo wanajua raha ya kukaa siti moja na mtoto mzuri alafu ni wa kiswazi hautajuta kupanda daladala.So far sijaona raha ya daladala