Raha ya kutumia usafiri wa Daladala

Raha ya kutumia usafiri wa Daladala

daladala ni karaha haina raha yoyote hasa ushike.............. bomba khaaaaaaaaaaaaaaaa balaa bluu
 
Kuna siku naenda Tandika nimepanda Gari nakutana na demu ambaye nimeshamtongoza na nilikuwa na buku tu ikabidi nimlipie na yeye.balaa ilikuwa wkt wa kurudi nauri sina japo nimeweka heshima.ile siku akiri ilinikaa sawa
Uliweka heshima au siyo!
 
Raha ya daladala isiwe imejaza sana, hata kama umesimama basi muwe kama watatu wanne hiv..

halafu konda na dereva wawe wacheshi plus kuwe na kamuzik flan hiv amazing kwa mbaali...

iwe jioni jioni hivi tena mnatokea posta mpo kwny foleni maeneo ya salender.....ndani kuwe na vijana watanashati na warembo kila mtu awe na katabasamu kadogo,

foleni iwe inatembea kidgo kidogo....kajua kawe kanazama hivi, kaupepo kabahari kanabreeze...

i miss those moment kwakwelii, mjini raha...acheni Dar iwe Dar tu.
 
Kuna Dada mmoja alinisusia mzigo wote nyuma....basi bila ajizi Abdallah yasini akasimama na kumgusa gusa kule kwenye msambwanda! Basi yule Dada akatulia tuli kama ananyolewa na cha kushangaza na kufurahia kwa upande wangu, gari ikiruka bamsi na kumsogeza alikuwa akijirudisha mwenyewe kwenye reli.
Huenda alikuwa anakupima kama una kibami au hogo
 
Kila jambo lina faida na hasara zake.

Pamoja na kuwa na kero nyingi sana kwa kutumia usafiri wa Daladala kwa mihangaiko ya kawaida pia kuna raha yake ya kutumia usafiri huu ukilinganisha na anayetumia usafiri binafsi(private car).

Ebu tiririka jambo hata moja tu ambalo kwa kutumia usafiri wa Daladala limewahi kukupa raha kwa namna moja au nyingine na hutoweza kujutia kutumia usafiri huu japo mara nyingi inauma sana kutokana na kero zake lukuki.

Karibuni tutiririke

95% ya Mademu ninaowapata na ' Kuwabaiolojia ' kunakotukuka hukutana nao katika ' Madaladala ' na ndiyo maana hata ' Marafiki ' zangu wengi wakinikuta katika Vituo vya ' daladala ' na kusimamisha magari yao ili wanipe ' lifti ' huwa nawakatalia ' katukatu ' kwakuwa naona watanikosesha ' burudani ' yangu kubwa ninayoipata katika kusafiri na ' public shuttles '.
 
Mimi huwaga nafurahi zile kauli za abiria pale konda anapokuwa anaomba hela/nauli

Konda-nipe nauli

Abiria-nitakupa nikikaa vizuri

Konda-nipe nauli

Abiria-hujapewa huko nyuma/mbele?

Abiria-konda kuna siti?

Konda-waliokaa unawaona wamekalia madumu/tofali

Abiri-konda kuna siti?

Konda-zipo mpaka za kulala
 
Mm kama lazima nipande daladala labda kwenda kazini ndo natumia private....lakini misele yangu ni dala dala hasa weekend hakuna wingi wa watu kwenye daladala naenyoy saaana
 
Back
Top Bottom