Ukame wa ppm ndo ukame upi huo mkuu?
Mara paap umepitishwa kituo
siku moja nilishuka nkasahau ninapokwenda nkaa km dk 5 ndo nkakumbuka kisa kuchapa usingiziGENTAMYCINE95% ya Mademu ninaowapata na ' Kuwabaiolojia ' kunakotukuka hukutana nao katika ' Madaladala ' na ndiyo maana hata ' Marafiki ' zangu wengi wakinikuta katika Vituo vya ' daladala ' na kusimamisha magari yao ili wanipe ' lifti ' huwa nawakatalia ' katukatu ' kwakuwa naona watanikosesha ' burudani ' yangu kubwa ninayoipata katika kusafiri na ' public shuttles '.
MmmmmmhKero tupu, watu hawaogi na hili jotroo gari linanuka kama banda la mbuzi
😀😀😀Kero tupu, watu hawaogi na hili jotroo gari linanuka kama banda la mbuzi
HahahahaUsiombe wanyakyusa wanaofahamiana wakutane kwenye daladala aafu mmoja akae kwa dereva mwengine apate siti ya nyuma. Yaani kupitia hako kaumbali watapiga stori njia nzima
Watu wanajilazimisha kujipa raha kwenye matatizo...So far sijaona raha ya daladala
Hahaa kajisahau.Pini??
Kwa kweli,wanapambana na hali zaoWatu wanajilazimisha kujipa raha kwenye matatizo...
We bado unatumia kale ka-Passo kako au umebadilisha?Kwa kweli,wanapambana na hali zao
Utasikia konda anasemaMimi huwaga nafurahi zile kauli za abiria pale konda anapokuwa anaomba hela/nauli
Konda-nipe nauli
Abiria-nitakupa nikikaa vizuri
Konda-nipe nauli
Abiria-hujapewa huko nyuma/mbele?
Abiria-konda kuna siti?
Konda-waliokaa unawaona wamekalia madumu/tofali
Abiri-konda kuna siti?
Konda-zipo mpaka za kulala
Naongea ukweli mkuuHahahahahaha nimecheka kwa sauti kubwa mkuu popoma
Dah![]()
![]()
![]()
![]()
![]()