Hivi tuwe wakweli kabisa jamani, kuna kutongoza siku hizi? Maana zamani kumpata mwanamke ilikuwa ni mchakato wakati siku hizi ni kama kutuma hela kwa mpesa/tigopesa - fasta fasta. Asubuhi unapata number ya simu, jioni au kesho yake sita kwa sita. Kuna kutongoza hapo?
HIVI HAPA TULIPONAJE...??
Mimi ni mmoja wao
Hivi tuwe wakweli kabisa jamani, kuna kutongoza siku hizi? Maana zamani kumpata mwanamke ilikuwa ni mchakato wakati siku hizi ni kaam kutuma hela kwa mpesa/tigopesa - fasta fasta. Asubuhi unapata number ya simu, jioni au kesho yake sita kwa sita. Kuna kutongoza hapo?
Sa kama hujui kutongoza unategemea nini? mwingine ukishampa phone number tayari anajua eti umeshamkubalia mnaboa sana.
mwisho wasiku anagalagazwa!kwahiyo kumbe unamzungusha ili wewe uendelee kuenjoy jinsi anavyojikanyaga kanyaga kwako,
wajiona kama malkia fulani hivi eeeeh....
wengine mnachosha ndo maana tunatoa macho
Everything happens for a reasonmi sitongozwi kabisa!
ACHA TABIA HII...UTAONA TU..
Mimi ni mmoja wao
Everything happens for a reason
Nakubaliana na wewe!!Inawezekana!!na mazingira yanachangia kwa kiasi kikubwa!
UNAKUMBUKA HII SIKU??