ikhatibu
JF-Expert Member
- Nov 14, 2013
- 2,496
- 2,485
Samaki wa baharini. Isipokuwa kibua tuMkuu unapenda kula aina gani ya samaki sasa?
Samaki wa baharini. Isipokuwa kibua tuMkuu unapenda kula aina gani ya samaki sasa?
Inashangazawabongo bhana unakuta hapo hapo unauwezo wakulamba k ...na kuinyoya ...lakin pweza unamponda .
Hahahaa. Sidhani kama watakuelewa hasa wale unaowakuta wamemzunguka huyo muuza pweza huku wana vijiti wakila na kumwambia muuzaji ahesabu vipande wanavyokula.
Ila nasikia ana faida mwilini huenda ndio chanzo cha kupendwa mbali na muonekano mbaya alio nao.
Labda mimi nimewapenda ladha yakeUtamu wa pweza uko mdomoni mwa mlaji