Raha na karaha ya bia ya Sita

Raha na karaha ya bia ya Sita

Mimi bia ya 4 mtarimbo huoo wimaa, halafu ya 8 hata Bibi kizee namwona mwalii

ha ha ha haaaa walahi nimecheka kwa sauti sehemu ambayo sikupaswa kufanya hivyo... ha ha ha haaa..
 
mmm Mimi nikinywa nakosa usingizi then kichwa kinaniuma yani bac tu ila kuacha nimeshindwa.nimeipenda hio ya mckio kupoteza uwezo wa kucki kumbe ndio maana huwa najikuta nalopoka kwa sauti!hahaha
 
me ninywa sita huwa sula inabadilika na moyo unaanza kuwa wa adui kuu najiona kama mzee ashanti mala dakika mbili amish kapuli.....pushapu haziishi counter nikimaliza hapo mwanamke wa mbele yangu hata akinikataa atakwenda tuu kibabe tena namuita meneja namwambia naenda kummenya huyu leo.
 
Mtoa mada ungejitahd kusogeza list mpk ifike bia ya 8 na kuendelea.half iwe safari umemix na kasichana.hatareeee.
 
Kwangu mimi bia sita yaani, ni lazima ka-Ambulance kawe karibu karibu!.
 
Mi hadi pia ya 16 ndo naaza kwenda chooni
 
Kwenda chooni ni kutokana na jinsi mwili wa mtu unavyofnya kazi mfano mm kama feni inakua inatoa upepo mkali ruti za toi haziish lkn naweza kaa kwenya ac kal na nisiende toi mvua ikinyesha kwangu n tatzi choon kila saa so swala la mtungi wa sita sijui nn hyo n wewe na jns mwili wako unavyoweza kuendana na mazingira uliyopo
 
Back
Top Bottom