Raha na karaha ya bia ya Sita

Raha na karaha ya bia ya Sita

Watu tunatupia Guinness 7 ni raha ya pekee wandugu, kesho ni J'mosi kama kawa.
 
Kuanzia bia ya sita unaanza kufikiria unaweza kumiliki
Kampuni kubwa kama Tbl au IPP!
 
Pombe haifai jamani sasa mzee mzima mpaka unajitapikia halafu unasema ni starehe dah acheni pombe bhana.
 
Bia bila kitu tumboni, huleta mashaka sana hata kuanzia bia ya tano.....
 
Mimi castle lite ya 15 mixer konyagi kasichana na embassy:mvutaji::bange: ndio inaanza kujibu maombi.
 
Uchambuzi mzuri huu kwa tusiokuwa walevi, binafsi nimejifunza mengi.
 
Pombe haifai jamani sasa mzee mzima mpaka unajitapikia halafu unasema ni starehe dah acheni pombe bhana.
Umewahi kunywa bia? Mpaka leo huwa naitafuta substitute ya pombe nashindwa, nataka kuiacha lakini nikiwaza sana namna ya kuiacha najikuta nimefika bar na kukumbuka tena nikiwa na bia ya 2. Ukinywa pombe ndio utaelewa uzito na thamani yake. Sijawahi kuzima njiani wala kulala mlangoni kwangu, kujitapikia ingawa kuna kipindi hunitokea alfajiri ile hali ya kichefuchefu kikali na kutapika lakini si kujitapikia, sijawahi kupotea njia ya kwangu na wala situkani mtu ila ile hali ya kuipenda kupita kiasi ndicho kinachonisumbua, nateseka.
 
kiukweli bia bwana acheni tu n pia kili ya sita haisumbui saaaaana ila dahhh nikipiga na kasichana nashangaa huwa inakata bia yoteee ila balaaaa nikivuta sigara mojaa tu unaweza sema nimekunywa creti huwa nataka kwenda nyumbani tuu na huwa sipendi tena utani na nakuwa mchokozi balaaa kwahiyo kuepuka ugomvi huwa nasepa hom na ndo maaana nimeamua kuacha kabisa sigara aisee
 
Kuna Prof. Aliwahi kuniambia kuwa ukiingia Bar unaona wahudumu wote wabaya ukinywa bia nne wale wembamba unaanza kuwaona mamiss so huchaui tena unaloveee wooote chezea lager wewe
 
Kuna Prof. Aliwahi kuniambia kuwa ukiingia Bar unaona wahudumu wote wabaya ukinywa bia nne wale wembamba unaanza kuwaona mamiss so huchaui tena unaloveee wooote chezea lager wewe

Baada ya Bia 4 Mwajuma Ndala ndefu anakua Beyonce.
 
Back
Top Bottom