Raha jipe mwenyewe ila ukipewa pia ina raha yake

Raha jipe mwenyewe ila ukipewa pia ina raha yake

Binti wa zamani

Platinum Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
11,763
Reaction score
27,154
Kitu gani umefanya siku za karibuni au huwa unafanya mara kwa mara kujipa raha mwenyewe au kupata furaha.

Naanza:
  1. Kufanyiwa oil massage (kukandwa kandwa )
  2. Tendo la raha / Ngono (Kuna mtu aliniuzia toy humu JF, abarikiwe sana)
  3. Kusafiri
  4. Kula nyama
  5. Kucheza mziki

Share na wewe raha zako (labda tutapata kipya cha kujaribu)
 
Kitu gani umefanya siku za karibuni au huwa unafanya mara kwa mara kujipa raha mwenyewe au kupata furaha.

Naanza:
  1. Kufanyiwa oil massage (kukandwa kandwa )
  2. Tendo la raha / Ngono (Kuna mtu aliniuzia toy humu, abarikiwe sana)
  3. Kusafiri
  4. Kucheza mziki

Share na wewe raha zako (labda tutapata kipya cha kujaribu)
Vyote nimepata hii long weekend
 
Napenda sana kula

FB_IMG_17506168984634808.jpg
 
Kitu gani umefanya siku za karibuni au huwa unafanya mara kwa mara kujipa raha mwenyewe au kupata furaha.

Naanza:
  1. Kufanyiwa oil massage (kukandwa kandwa )
  2. Tendo la raha / Ngono (Kuna mtu aliniuzia toy humu, abarikiwe sana)
  3. Kusafiri
  4. Kucheza mziki

Share na wewe raha zako (labda tutapata kipya cha kujaribu)
Nimekuja kwa bonge la dada
 
Nilipewa offer ya kula Tako, nikakataa.

Ni hivi, nilienda a fancy Japanese Restaurant, nikaangalia menu yao. Nikakutana na chakula kinaitwa Tako.

Nikauliza hii ni nini? Wakasema ni pweza.

Nikasema aaah, mimi pweza sili nina allergy nao.

Nikakosa kula Tako hivihivi.

Ila mapochopocho mengine ya Kijapani nikayafakamia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom