Goheki
JF-Expert Member
- Aug 23, 2011
- 447
- 387
Heshima kwenu wana if,
Siku ya jumatano nilikuwa nikiangalia bunge la Jmt kupitia tbc,nilibahatika kusikiliza baadhi ya michango ya wabunge.
Ilifika zamu ya Rage alianza kumtetea Jk sio mdini kwa kutaja idadi ya mawaziri,wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.
Kwa kunukuu kwake idadi ya viongozi hao ilionekana Waislam ni wachache sana.
Alichonishangaza ni kusema kwa idadi hiyo aliyoitaja Jk sio mdini.
Nachojiuliza ili Jk awe mdini ni mpaka idadi ya viongozi waislam wawe wengi ndio udini utaonekana?
Siku ya jumatano nilikuwa nikiangalia bunge la Jmt kupitia tbc,nilibahatika kusikiliza baadhi ya michango ya wabunge.
Ilifika zamu ya Rage alianza kumtetea Jk sio mdini kwa kutaja idadi ya mawaziri,wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.
Kwa kunukuu kwake idadi ya viongozi hao ilionekana Waislam ni wachache sana.
Alichonishangaza ni kusema kwa idadi hiyo aliyoitaja Jk sio mdini.
Nachojiuliza ili Jk awe mdini ni mpaka idadi ya viongozi waislam wawe wengi ndio udini utaonekana?