Rage na mchango wa udini bungeni

Rage na mchango wa udini bungeni

Kama vile ccm inavyopambana na kuwagandamiza wakristo nasi jamii ya kikristi itwaonyesha
...........cha mtema kuni kupitia padre slaa na Chadema..............Nimekusaidia Kumalizia senetensi yako.Mnaelekea kufilisika kimawazo na sasa mnaleta ligi za kitoto mpaka masuala ya kuchinja which is nonsense.Tunafahamu miaka yote mlikuwa mnaisapoti CCM na hata mkamuita JK chaguo la Mungu 2005.Leo hii imekuwaje mnaenda CHADEMA au chaguo la Mungu limehamia huko?Je Mungu huyu amekuwa kigeugeu?
 
Mkuu Hoja ya Kadhi hajaileta JK.Hoja hii ni ya CCM kwa kudhani wanawapoza waislamu kwa maovu waliyowafanyia. Naomba nikukumbushe Historia kidogo.Kadhi alikuwepo kipindi tunapata uhuru.Lakini kwa fitina za ''Mwenyeheri'' na wenzake waliua taasisi zote nyeti za kiislamu.

mwenyekiti wa ccm ni nani mkuu??
Ni nani ameupata uraisi kwa hiyo sera hiyo mkuu??
Ni nanai beneficiary wa sera hiyo iliyotumiwa na ccm?
 
nyie si ndo wabunifu siku hizi mmeanzisha mradi wa kuchimbua majini,mashetan na mapepo makanisani kwa njia ya Mpesa na tigo pesa, Uislam umekuwepo kabla ya Tanzania, Hata ikitokea Baraza la maaskof ndo likawa baraza la mawazir na Pengo akawa ndo mkuu wa nchi hakuna mwenye uwezo wa Kuzima nuru ya Allah, mmetakiwa mthibitishe kuwa Jk anawapendelea waislam kwenye uteuzi mkaanza kujambajamba wewe unarudia tena propaganda hizo ambazo waliokufundisha wametakiwa wathibitishe wanaunya unya, Tumia akili kufikiri badala ya kutumia kutunza kumbukumbu za propaganda eti wakristo wako bize wanapiga kazi hivi unadhan tatizo la Unemployment mitaani linawahusu waislam pekee?.wakizungumzwa wakristo msipende kuwaangalia wa Masaki pekee hata wale wasiojuwa kusoma na kuandik kule Ilulangulu Tabora, wanaochuna ngoz kule tukuyu au kuuwana kule Tarime wote ni wakristo wenzenu mnaojidai eti mmesoma na mnaakili sana!

very true bro
 
mwenyekiti wa ccm ni nani mkuu??
Ni nani ameupata uraisi kwa hiyo sera hiyo mkuu??
Ni nanai beneficiary wa sera hiyo iliyotumiwa na ccm?
Kuwa mwenyekiti haimaanishi kuwa ndo unatunga kila kitu.Lakini pia wakati ilani inatungwa mwenyekiti alikuwa Mkapa.
 
mwenyekiti wa ccm ni nani mkuu??
Ni nani ameupata uraisi kwa hiyo sera hiyo mkuu??
Ni nanai beneficiary wa sera hiyo iliyotumiwa na ccm?
.M/Kiti alikuwa Mkapa.Aliyeupata uraisi ni JK na Beneficiary ni CCM.JK hakuwa anajua kuwa angegeukwa.na baada ya kushinda CCM ikiwa na Backup ya Maaskofu wakakataa suala hili.JK amejaribu kuondoa mfumo wa udini ndani ya CCM na Serikali lakini kelele zimesikika mpaka kwa Nyerere.wapo wanaotamani arudi kwa vile yeye ndo alipanda mbegu hii mbaya.Sasa JK anonekana kana kwamba yeye ndo mdini.Maaskofu walimwangukia Padri Slaa na ndo maana ukaja mwongozo kwa wapiga kura wakristo ....shame on them...
 
Lazima wenzetu wakristo waseme rais ni mdini na sababu ni mwamko wa waislamu kudai haki zao zilizokuwa mikononi mwa mfumo uliokaliwa na wakristo.
Uwepo wa jk kwa kiasi imekuwa tatizo kwa wadhulumu wa haki za waislamu kwani jk hajaonyesha udhaifu kama wa mwinyi katika kusimamia usawa kwa watu wote.
Jk sio mdini ila wadini wameshikwa pabaya.
 
.M/Kiti alikuwa Mkapa.Aliyeupata uraisi ni JK na Beneficiary ni CCM.JK hakuwa anajua kuwa angegeukwa.na baada ya kushinda CCM ikiwa na Backup ya Maaskofu wakakataa suala hili.JK amejaribu kuondoa mfumo wa udini ndani ya CCM na Serikali lakini kelele zimesikika mpaka kwa Nyerere.wapo wanaotamani arudi kwa vile yeye ndo alipanda mbegu hii mbaya.Sasa JK anonekana kana kwamba yeye ndo mdini.Maaskofu walimwangukia Padri Slaa na ndo maana ukaja mwongozo kwa wapiga kura wakristo ....shame on them...

usiku mwema aisee,ningejua hii ndo post yako ya 5 tangu ujiunge JF nisingepoteza muda kukujibu tangu awali.

Karibu JF.
 
Tumewastukia mkibanwa mnabadili hoja, Sasa kama jakaya sio mdini kwenye Uteuzi mnamaanisha mdini kwenye kusambaza Maji na Umeme? Mwisho wa Propaganda Aibu leo unajifanya kumjadili Rage kwani Wassira na Mwandosya si wamesema hivyo hivyo kwanini umeamua kumchagua Rage na kumuacha Wassira,Mwandosya,stella Manyanya na Mwigulu ambao nao wamemtetea Jakaya kuwa sio mdini.Lema kafichua yaliyojificha kwenye vifua vyenu mnashindwa kupambana na CCM mtaweza na Uislam?Mfupa uliowashinda FBI na CIA wataweza kina Lema, selasini na Msigwa?

100% iko safi saaaaaaaaaaaana
 
... Maendeleo ya waumini au dini ni ubunifu binafsi, wala si kutegemea nani yupo madarakani. Endeleeni kuitegemea siasa kufanya maendeleo ya dini, kama ambavyo mlipewa matumaini kwenye ilani ya CCM ya uchaguzi wa mwaka 2005. Sijui mwaka 2015 watawaahidi kitu gani, nasema endeleeni kuitegemea siasa na CCM kuwa itatimiza ahadi inazowapa kila uchaguzi unapokaribia! Nikikumbuka maneno ya JK alivyoruka kuwa sio yeye aliyeweka ahadi ya Mahakama ya Kadhi kwenye ilani ya CCM, nawaonea huruma wanaoendelea kujipa matumaini. Maybe 2015 tutapata muisilamu mwingine wa kumtegemea, au maybe JK ataongezewa muda wa kipindi cha tatu! Wenzenu wanapiga kazi kila idara za umma na private kwa kutumia taaluma zao, ninyi mnasubiri JK awateue, sasa sijui nafasi za kuteua ziko ngapi!

Wewe acha fikra mgando wewe..... kwanza hata kueleweka kwenyewe hueleweki hapo unasema ni mdini halafu tena unawaambia waisilamu kuwa JK aliwaahidi halafu akawaruka... Upuuzi mtupu
 
Lazima wenzetu wakristo waseme rais ni mdini na sababu ni mwamko wa waislamu kudai haki zao zilizokuwa mikononi mwa mfumo uliokaliwa na wakristo.
Uwepo wa jk kwa kiasi imekuwa tatizo kwa wadhulumu wa haki za waislamu kwani jk hajaonyesha udhaifu kama wa mwinyi katika kusimamia usawa kwa watu wote.
Jk sio mdini ila wadini wameshikwa pabaya.

Saaaafiiiiii..... waeleze hao wenye fikra mgandoooooo
 
hakuna dini iliyozaidi ya mwenzake zote 2mezkuta n ha2jui kama zliletwa na mungu au la ! Cha msing shika iman yako !kama ni mwislam timiza swala tano zako n mkristo fuata iman yako.achen shamba
 
na wengine wapo kule geita wanawaficha watoto wao wasiende fom1 ili wachunge ng'ombe!!....ni masikini typically,ana ng'ombe 300 analala kwenye kibanda cha nyasi kinachofanana na zizi la ng'ombe!!

wewe ni miongoni mwa wa2 wasio na opeo wa kufikir kwa Kina,unaona ajabu staili ya Maisha ya wafugaji,vipi mbona hushangai za "baba zk" Mafisadi, wanaiba pessa wanaficha Uswis,zinawasaidia nn zaid ya kuitia umaskin nchi.Fikir ww Maisha si vile upendavyo vya kuiga bali ni kujitambua na kujikubali. Baba zk Mafisadi wasingekua wanauza mapor yt na mbuga zt wafugaji wangeteseka kupata Malisho? We huoni mbona macho makubwa unayo!
 

usiku mwema aisee,ningejua hii ndo post yako ya 5 tangu ujiunge JF nisingepoteza muda kukujibu tangu awali.

Karibu JF.
Hamna uhusiano wa mimi kuwa na post chache na Hoja hii ya udini.wengine post nyingi lakini michango haina mashiko. I hope umeamka sogea mezani tuendeleze hoja.usipepese......
 
udini upo mkubwa sana uktaka kuujua chek wakurugenz mawzaran, mabaloz, makaimu makatbu wakuu wote waislam walpandshwa na kufanywa makatbu wakuu..chek layer ya juu ya uongoz wa nchi..HILI JAMBO LA UDINI NI LA KWELI RAGE ANALAMBA VIATU VYA WATAWALA AU MMESAHAU ALITOKA JELA KWA MSAMAHA WA RAIS
 
udini upo mkubwa sana uktaka kuujua chek wakurugenz mawzaran, mabaloz, makaimu makatbu wakuu wote waislam walpandshwa na kufanywa makatbu wakuu..chek layer ya juu ya uongoz wa nchi..HILI JAMBO LA UDINI NI LA KWELI RAGE ANALAMBA VIATU VYA WATAWALA AU MMESAHAU ALITOKA JELA KWA MSAMAHA WA RAIS

No research no right to speak.... acha kukurupuka tuuu.... unaongea kana kwamba kichwa umekiacha kijijini kwenu. Hebu ainisha hao makatibu wakuu walio waisilamu na hao mabalozi unaowasema wewe na kisha uangalie wengi ni kina nani. Nyie wenye chuki ndiyo mliojaa huko serikalini kila kukicha mnaleta vioja... ooh mara waisilamu hawakusoma mara waisilamu hivi mara vilee ili mradi tuuu mzidi kuwaangamiza kama alivyofanya mtangulizi wetu huyooo mnaemuita mwenye heri. Acheni hizoooooooo
 
Heshima kwenu wana if,
Siku ya jumatano nilikuwa nikiangalia bunge la Jmt kupitia tbc,nilibahatika kusikiliza baadhi ya michango ya wabunge.
Ilifika zamu ya Rage alianza kumtetea Jk sio mdini kwa kutaja idadi ya mawaziri,wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya.
Kwa kunukuu kwake idadi ya viongozi hao ilionekana Waislam ni wachache sana.
Alichonishangaza ni kusema kwa idadi hiyo aliyoitaja Jk sio mdini.
Nachojiuliza ili Jk awe mdini ni mpaka idadi ya viongozi waislam wawe wengi ndio udini utaonekana?

Ndivyo aaminivyo na fikra zake fupi
 
Amani iwe kwenu wote wana JF,Namtetea JK kuwa si mdini na nampongeza kwa kuhimili hali hii ngumu.Kwanza amekuwa mwathirika wa udini na kama angekuwa mdini leo hii angekuwa ameishatimiza matakwa yote ya waislam.Mahakama ya kadhi,OIC ni mojawapo ya hayo matakwa lakini mpaka leo hajaweza kufanya hivyo.Labda niombe mheshimiwa mtoa mada,umesema JK kuwa mdini si kuweka idadi kubwa ya viongozi waislamu je ni yapi yanakushangaza?

Kama akiegemea upande wawakristo siyo mdini? Shirikisha ubongo kabla ya kufanya post hapa
 
Back
Top Bottom