laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 9,984
- 9,760
Mbona rage mwenyewe kama msomali,si bora huyo mwakasaka mnyakyusa ila ni mtanzania watanyooka tu
Yaani Tabora wamechagua mnyakyusa? Wamepotea hao ni wabinafsi balaa
Mbona rage mwenyewe kama msomali,si bora huyo mwakasaka mnyakyusa ila ni mtanzania watanyooka tu
Rage hawezi shindwa...anayo Pistol kiunoni atakaye mshinda ataona nyeti za kuku
Yaani Tabora wamechagua mnyakyusa? Wamepotea hao ni wabinafsi balaa
Kweli misemeo ya kizungu inafurahisha, hapa wanasema 'whatever goes around comes around', wangelikuwa na IQ inayofikia hata 5 wangelimuangalia Dr. Mahanga jinsi dhambi aliyomfanyia Mpendazoe 2010 inavyomtesa hadi sasa. Watanzania wamewasema sana watu wa Tabora kwa kosa walilofanya 2010 na bora wamejirekebisha.Sababu Mwakasaka sio mzaliwa maeneo haya ya Tabora ndio shida inapoanzia
Rage ni mzaliwa?Habari gani wandugu,
Baada ya kushindwa vibaya katika uchaguzi wa CCM wa kura za maoni na Emmanuel Mwakasaka sasa wapambe pamoja na watangazaji wake wa kituo cha radio VOT wanatukana wanakashifu,wanadhihaki watu wa Tabora hasa kabila la Wanyamwezi kwa maneno makali kabisa kwa mihemko ya kupigwa chini mgombea na mmiliki wa redio hiyo RAGE.
Sababu Mwakasaka sio mzaliwa maeneo haya ya Tabora ndio shida inapoanzia
TCRA iangalieni hii Redio sio kama Wanyamwezi wote wanaotukanwa ni CCM
OVER
Akae tu chini,atazoea kushindwa