zugimlole
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 2,073
- 1,342
Habari gani wandugu,
Baada ya kushindwa vibaya katika uchaguzi wa CCM wa kura za maoni na Emmanuel Mwakasaka sasa wapambe pamoja na watangazaji wake wa kituo cha radio VOT wanatukana wanakashifu,wanadhihaki watu wa Tabora hasa kabila la Wanyamwezi kwa maneno makali kabisa kwa mihemko ya kupigwa chini mgombea na mmiliki wa redio hiyo RAGE.
Sababu Mwakasaka sio mzaliwa maeneo haya ya Tabora ndio shida inapoanzia
TCRA iangalieni hii Redio sio kama Wanyamwezi wote wanaotukanwa ni CCM
OVER
Baada ya kushindwa vibaya katika uchaguzi wa CCM wa kura za maoni na Emmanuel Mwakasaka sasa wapambe pamoja na watangazaji wake wa kituo cha radio VOT wanatukana wanakashifu,wanadhihaki watu wa Tabora hasa kabila la Wanyamwezi kwa maneno makali kabisa kwa mihemko ya kupigwa chini mgombea na mmiliki wa redio hiyo RAGE.
Sababu Mwakasaka sio mzaliwa maeneo haya ya Tabora ndio shida inapoanzia
TCRA iangalieni hii Redio sio kama Wanyamwezi wote wanaotukanwa ni CCM
OVER