Rage funga redio yako, sio wote ni CCM

Rage funga redio yako, sio wote ni CCM

Watu kama kina Rage wangeangalia mishe nyingine za kufanya sijaona lolote la maana alililofanya mm kwan hana kibarua kingine?
 
Hawa wanaojifanya sijui mtanzania mwenye asili ya wapi mi sielew wanataka nn mtu msomali kabisa ooh mi mzawa hebu kuweni wastaarabu jamani
 
Bora wamemkata-Hana faida bungeni zaidi ya kubwabwaja.
 
Ile jeuri aliyoifanya kweny club ya simba ameshindwa kuitumia huko?
pole kwake.
 
Mbona rage mwenyewe kama msomali,si bora huyo mwakasaka mnyakyusa ila ni mtanzania watanyooka tu
 
CCM imepoteza! Rage na Asumpta Mshama walikuwa wabunge wa CCM kuliko walivyowawakilisha wapiga kura wao! Michango yao ilikuwa kuwashambulia wapinzani tena sio kwa hoja, bali video be. Rejea Michango yao kwenye Escrow wakiishambulia kamati ya Bunge na michango yao wakati wa kuirarua vipande rasimu ya wananchi ya mapendekezo ya Katiba. CCM isiwaache!!
 
Mwakasaka kura 13335
Rage kura 4123 BINAFSI KURA YANGU NILIMPA MWAKASAKA!!!RAGE ANA FITNA SANA !!ALISEMA NTAFIA UWANJANI!!!!SASA YAMEMSHINDA!HIII REDIO YAKE HAINA WATAALAM WA KUTOSHA NI KAMA GENGE LA WAHUNI TU!MBONA DIALO ALIVYOPIGWA CHINI HAKULALAMOKA KUPITIA REDIO FREE AFRIKA
 
zugimlole

Huyo Mwakasaka ni mnyakyusa aliyeenda Tabora kulima tumbaku?
 
Last edited by a moderator:
JIMBO LA URAMBO?
Ukawa jimbo jeupe,mapungufu ni mengi mno ka karata iliyokuwepo!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom