Rafu Zimechezwa nyingi sana, Je tunakwenda kutoa Rais wa aina gani ?

Rafu Zimechezwa nyingi sana, Je tunakwenda kutoa Rais wa aina gani ?

Megalodon

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
4,770
Reaction score
10,665
Viongozi wa nchi hamfikirii

Mahakama hamfikirii

Tume ya Uchaguzi hamfikirii

Usalama wa nchi hamfikirii

Hamfikirii kwamba tunapanda mbegu inayoenda kulimaliza hilo taifa kwa maslahi ya watu wachache mno ambao in next 15 to 20 years huenda wakawa mavumbini based on WHO life expectancy extracts

Ndugu yetu Rais Samia na kikundi chake ana breach constitution ya nchi, ana breach constitution ya
chama chake - hii ni mbegu mbaya sana inayopandwa dhidi ya katiba ya URT.

Quran na Biblia sio misingi ya Taifa letu, Msingi wa TAIFA letu ni KATIBA... in fact Katiba ipo juu ya Quran na Biblia.... that should be clearly understood.

Je inakuaje tunakuwa na Rais asiyeisoma na kuijua katiba ya nchi na chama chake itakavyo?

1. Samia na kundi la wachache anavunja katiba ya URT kwa kuanza mchakato wa kupata mgombea January badala ya August.

2. Samia anaivunja katiba ya CCM kwa kujiteua yeye mwenyewe kuwa mgombea pekee wa Urais kinyume na utaratibu

3. Pamoja na mambo mengine ambayo tuseme yapo kikatiba kama Anateua DG NEC , na timu ya usimamizi wa Uchaguzi


Ukisoma huu mlolongo utaona ni rafu nyingi sana zimepigwa , unajiuliza huyu mtu anaendaje kuwa Rais wa Mfano wa halali wa URT mbele ya watanzania !


Bado tunajiuliza hizi rafu zote anazocheza ni kwa maslahi ya Nani?

Kwa sababu hayawezi
Kuwa ni maslahi ya nchi hata kidogo ....Je ni Nani yupo nyuma ya huu umafia wote wa kuidhalilisha na kuipunguzia power the Constitution of URT ? ni nani na kwa maslahi gani?


Je ni sawa TAIFA kuwa na Rais ambae haheshimu katiba ya nchi ?

na wala haheshimu katiba ya chama chake, ?

Rais kama huyu anatoa taswira gani au anakaribisha ovu gani kwenye taifa letu.?

Muongozo wa Rais ni katiba ya URT na chama chake..... vyote kavifanya toilet paper .....

haijawahi kutokea tangu Mwalimu hadi JPM kuwa na Rais akafanya tuone katiba ya URT kumbe sio kitu ni maandishi tu na unaweza kuya twist for own interest..... !!!⁉️‼️

hivo hivo kwa katiba ya CCM

Mimi nadhan Jameni, turudi nyuma hatua moja na KUTAFAKARI kwa maslahi ya TAIFA ....hii mbegu dhidi ya KATIBA mbili ni mbaya sana.... tusije kuzalisha mtu kama kagame au MUSEVENI baadae:

POWER, ‼️ ina ADDICTION mbaya zaidi ya Cocaine or Opium or Psychotropic drugs .

Antidote pekee ya Power Addiction syndromes ni KATIBA IMARA ya NCHI na CHAMA , katiba yenye kuheshimika na yeyote.

La Mwisho lakini ambalo sio la mwisho kabisa, Inawezekana hata MUHUSIKA hajui impact ya anachokifanya; Aelimishwe, na kurudishwa kwenye utaratibu RASMI kama ilivyo kwa watangulizi wake chini ya a guiding document yaani KATIBA MBILI( URT+ Chama chake)

Otherwise, mnaopiga vigelegele, mjiandae na kuja kulia , vizazi vinaona, uzao unaona. The Kagame, the Museveni ni aftermath ya weak constitution !

Dr. Megalodon Ndesaruo Mushi
PhD Fellow ( WHO)
University of Ottawa, Medical Oncology Divison
Rue 52, Canada
 
Ngoja waje vilamba mav wa Mama wakupopoe matusi !
 
Una point, lakini katiba haipo juu ya biblia. Sema ni kitu cha Heshma yake. Ndio mana nikiapa mahakamani nashika bible sio katiba.
Inayotuongoza kama taifa na muongozo wa nchi ni Biblia au Katiba?
 
Viongozi wa nchi hamfikirii

Mahakama hamfikirii

Tume ya Uchaguzi hamfikirii

Usalama wa nchi hamfikirii

Hamfikirii kwamba tunapanda mbegu inayoenda kulimaliza hilo taifa kwa maslahi ya watu wachache mno ambao in next 15 to 20 years huenda wakawa mavumbini based on WHO life expectancy extracts

Ndugu yetu Rais Samia na kikundi chake ana breach constitution ya nchi, ana breach constitution ya
chama chake - hii ni mbegu mbaya sana inayopandwa dhidi ya katiba ya URT.

Quran na Biblia sio misingi ya Taifa letu, Msingi wa TAIFA letu ni KATIBA... in fact Katiba ipo juu ya Quran na Biblia.... that should be clearly understood.

Je inakuaje tunakuwa na Rais asiyeisoma na kuijua katiba ya nchi na chama chake itakavyo?

1. Samia na kundi la wachache anavunja katiba ya URT kwa kuanza mchakato wa kupata mgombea January badala ya August.

2. Samia anaivunja katiba ya CCM kwa kujiteua yeye mwenyewe kuwa mgombea pekee wa Urais kinyume na utaratibu

3. Pamoja na mambo mengine ambayo tuseme yapo kikatiba kama Anateua DG NEC , na timu ya usimamizi wa Uchaguzi


Ukisoma huu mlolongo utaona ni rafu nyingi sana zimepigwa , unajiuliza huyu mtu anaendaje kuwa Rais wa Mfano wa halali wa URT mbele ya watanzania !


Bado tunajiuliza hizi rafu zote anazocheza ni kwa maslahi ya Nani?

Kwa sababu hayawezi
Kuwa ni maslahi ya nchi hata kidogo ....Je ni Nani yupo nyuma ya huu umafia wote wa kuidhalilisha na kuipunguzia power the Constitution of URT ? ni nani na kwa maslahi gani?


Je ni sawa TAIFA kuwa na Rais ambae haheshimu katiba ya nchi ?

na wala haheshimu katiba ya chama chake, ?

Rais kama huyu anatoa taswira gani au anakaribisha ovu gani kwenye taifa letu.?

Muongozo wa Rais ni katiba ya URT na chama chake..... vyote kavifanya toilet paper .....

haijawahi kutokea tangu Mwalimu hadi JPM kuwa na Rais akafanya tuone katiba ya URT kumbe sio kitu ni maandishi tu na unaweza kuya twist for own interest..... !!!⁉️‼️

hivo hivo kwa katiba ya CCM

Mimi nadhan Jameni, turudi nyuma hatua moja na KUTAFAKARI kwa maslahi ya TAIFA ....hii mbegu dhidi ya KATIBA mbili ni mbaya sana.... tusije kuzalisha mtu kama kagame au MUSEVENI baadae:

POWER, ‼️ ina ADDICTION mbaya zaidi ya Cocaine or Opium or Psychotropic drugs .

Antidote pekee ya Power Addiction syndromes ni KATIBA IMARA ya NCHI na CHAMA , katiba yenye kuheshimika na yeyote.

La Mwisho lakini ambalo sio la mwisho kabisa, Inawezekana hata MUHUSIKA hajui impact ya anachokifanya; Aelimishwe, na kurudishwa kwenye utaratibu RASMI kama ilivyo kwa watangulizi wake chini ya a guiding document yaani KATIBA MBILI( URT+ Chama chake)

Otherwise, mnaopiga vigelegele, mjiandae na kuja kulia , vizazi vinaona, uzao unaona. The Kagame, the Museveni ni aftermath ya weak constitution !

Dr. Megalodon Ndesaruo Mushi
PhD Fellow ( WHO)
University of Ottawa, Medical Oncology Divison
Rue 52, Canada
Hapa genge la praise &mislead⁸ linatia timu hivi punde,leo sijui linaongozwa na akina nani wale wa kawaida ama wengine.
 
Ni katiba, ila kwenye kuapa. naapa mbele ya katiba nA biblia ikiwa juu nimenyAnyua
Unachanganya sana Mambo.

Koran na Biblia sio Misingi ya nchi na
Sio constitution ya nchi
Yetu . Koran na
biblia ni misingi ya imani kwa waumin wa dini hizo ; ni
Nini ambacho huelewi hapo ?

Muislam akiapa atashika bible ?

Unajua maana ya misingi ya nchi?
 
haijawahi kutokea tangu Mwalimu hadi JPM kuwa na Rais akafanya tuone katiba ya URT kumbe sio kitu ni maandishi tu na unaweza kuya twist for own interest..... !!!⁉️‼️
Alishawahi kusema katiba ni kijitabu tu.
No wonder ukasema sijui tulifikaje hapa kama Taifa,Maneno yako kuna muda yananichekesha Mkuu😂
 
Alishawahi kusema katiba ni kijitabu tu.
No wonder ukasema sijui tulifikaje hapa kama Taifa,Maneno yako kuna muda yananichekesha Mkuu😂
Tunawafanya watu makasuku tu : hivi ni mwànanchi wangap wanaijua katiba 🤣
 
Unachanganya sana Mambo.

Koran na Biblia sio Misingi ya nchi na
Sio constitution ya nchi
Yetu . Koran na
biblia ni misingi ya imani kwa waumin wa dini hizo ; ni
Nini ambacho huelewi hapo ?

Muislam akiapa atashika bible ?

Unajua maana ya misingi ya nchi?
Kila mtu ana imani na misingi yake. Nchi ina katiba yake. Hiyo inaeleweka na tuiacche kama ilivyo. Tupo watu wa uelewa viwango tofauti, mradi hakuna kuvunja sheria, well. maisha yaendelee
 
Tunawafanya watu makasuku tu : hivi ni mwànanchi wangap wanaijua katiba 🤣
Ila hii nchi ni kiboko
Yaani hii nchi ni noma sana
Kama movie Fulani hivi za vituko ila ndio nchi inasonga mbele.
Yaani Tanzania ni kiboko yaani aisee 🙌

Wacha naendelee kuwa mpenzi mtazamaji,sicomment kitu!
Sina mwanasheria kapuku Mimi.
 
Kila mtu ana imani na misingi yake. Nchi ina katiba yake. Hiyo inaeleweka na tuiacche kama ilivyo. Tupo watu wa uelewa viwango tofauti, mradi hakuna kuvunja sheria, well. maisha yaendelee
😆 dogo ukienda mahakamani unahukumiwa kwa mujibu wa katiba sio koran au bible - mbona I expected iwe ni rahisi san kuelewa.

Katiba inatambua imani zenu lakini vitabu vyenu haviingii kwenye verdict ya nchi, mbona I expected iwe ni simple sana kuelewa

That is why hatumlalamikii samia kuvunja Koran but katiba mzee

Koran na biblia ni scripture tu haviingii popote kwenye maamuzi ya nchi yetu

Ni nini ambacho huelewi? Ulinyonya two years breast feeeding kweli ?
 
Back
Top Bottom