grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,442
- 5,807
Ingelikuwa ni wale wapiga domo mpira sifuri wangepewa mpira mwekundu wangeukataa.Simba kweli wanaonewa, yaani walilazimishwa na TFF kucheza mpira wa njano?
Simba ni dume lisilochagua popote kambi, ukicheza mpira nasi tunacheza mpira, ukileta rafu yatakukuta yaliyomkuta mwenzenu aliye MOI sasa hizi. Chezea Mnyama weweeee.