Rafiki yangu wa Kike simuelewi jamani!

Rafiki yangu wa Kike simuelewi jamani!

Nusratt

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2024
Posts
1,707
Reaction score
4,192
Naombeni ushauri au neno lolote.

Hapa ninapoishi (Ubungo) nimepata mgeni wa kike.

Dada huyu alikuwa ni rafiki yangu wa huko nyuma kabla sijaachana na ile kazi ya haramu niliyokuwa naifanya kule Mori na Dodoma.

Sasa huyu mgeni kwanza nimeshangaa kapajuaje hapa ninapoishi na licha ya hivo pia nimeshangaa sana kuja kukaa hapa maana ni nadra sana kupokea mtu ambae mlikuwa hamna mazoea kihivyo.

Anyway tuachane na hayo, nimekuja hapa jukwaani kuwaomba ushauri ili nijue nafanyaje.
Huyu rafiki yangu wa ana tabia zifuatazo:

1. Anapenda sana kunisalimia kwa kunikumbatia.
Yaani hata akiniona nimetoka dukani tu huja kunikumbatia hii tabia hakuwa nayo awali.

2. Huwa nina tabia ya kutizama televisheni mpaka usiku wa manane, akigundua kama niko macho kwenye kochi basi atakuja karibu yangu na kujikunyata kifuani kwangu ili tuangalie wote movie

3. Kuna siku nilikuwa naoga bafuni (chumba changu ni self) akaomba tuoge wote nilimkubalia kwa kujua ni rafiki tu ila aliamua kuniogesha mpaka mwisho

4. Hupenda kuninunulia zawadi za chupi na sidiria. Na juzi ile kaniletea zawadi ya kikuku cha mguuni.

5. Tukilala hupenda sana tukumbatiane na huwa namuona kama anapata hisia sana.
Sasa sielewi hisia za mwanamke na mwanamke anazitoa wapi?

6. Jana katoa kali, kasema eti maziwa yangu ni magumu nisijaribu kuyafanyia plastic surgery kwani nitayaharibu, anayapenda hivohivo.

Jamani huyu dada ananifanyia vituko vingi na vingine sisemi kwani ni aibu.

Mimi sina hisia nae kabisa japo ukikaa nae nasikia mpaka mapigo yake ya moyo yanavyodunda.
Mimi nimeumbwa kwa ajili ya mwanaume na si kwa ajili ya mwanamke mwenzangu.

Naombeni mbinu ya kumtoa hapa kwangu.
Kwao anasema ni Tengeru ila alikuja Dar kutafuta maisha.
Ananisapoti sana kimaisha kwani ni mchakarikaji sana ila shida ni hiyo tu.

Naogopa ipo siku nitamkuta juu ya kifua changu nami sitaki hali hiyo itokee.

Hapa nilipo namuangalia alivyolala kwa hisia.
Najua akiamka akinikuta natizama Tv atakuja kujikunyata pembeni yangu.

Wanaume naomba muungane na wanaume wote na wanawake wa humu kunipa ushauri.
 
Naombeni ushauri au neno lolote.

Hapa ninapoishi (Ubungo) nimepata mgeni wa kike.

Dada huyu alikuwa ni rafiki yangu wa huko nyuma kabla sijaachana na ile kazi ya haramu niliyokuwa naifanya kule Mori na Dodoma.

Sasa huyu mgeni kwanza nimeshangaa kapajuaje hapa ninapoishi na licha ya hivo pia nimeshangaa sana kuja kukaa hapa maana ni nadra sana kupokea mtu ambae mlikuwa hamna mazoea kihivyo.

Anyway tuachane na hayo, nimekuja hapa jukwaani kuwaomba ushauri ili nijue nafanyaje.
Huyu rafiki yangu wa ana tabia zifuatazo:

1. Anapenda sana kunisalimia kwa kunikumbatia.
Yaani hata akiniona nimetoka dukani tu huja kunikumbatia hii tabia hakuwa nayo awali.

2. Huwa nina tabia ya kutizama televisheni mpaka usiku wa manane, akigundua kama niko macho kwenye kochi basi atakuja karibu yangu na kujikunyata kifuani kwangu ili tuangalie wote movie

3. Kuna siku nilikuwa naoga bafuni (chumba changu ni self) akaomba tuoge wote nilimkubalia kwa kujua ni rafiki tu ila aliamua kuniogesha mpaka mwisho

4. Hupenda kuninunulia zawadi za chupi na sidiria. Na juzi ile kaniletea zawadi ya kikuku cha mguuni.

5. Tukilala hupenda sana tukumbatiane na huwa namuona kama anapata hisia sana.
Sasa sielewi hisia za mwanamke na mwanamke anazitoa wapi?

6. Jana katoa kali, kasema eti maziwa yangu ni magumu nisijaribu kuyafanyia plastic surgery kwani nitayaharibu, anayapenda hivohivo.

Jamani huyu dada ananifanyia vituko vingi na vingine sisemi kwani ni aibu.

Mimi sina hisia nae kabisa japo ukikaa nae nasikia mpaka mapigo yake ya moyo yanavyodunda.
Mimi nimeumbwa kwa ajili ya mwanaume na si kwa ajili ya mwanamke mwenzangu.

Naombeni mbinu ya kumtoa hapa kwangu.
Kwao anasema ni Tengeru ila alikuja Dar kutafuta maisha.
Ananisapoti sana kimaisha kwani ni mchakarikaji sana ila shida ni hiyo tu.

Naogopa ipo siku nitamkuta juu ya kifua changu nami sitaki hali hiyo itokee.

Hapa nilipo namuangalia alivyolala kwa hisia.
Najua akiamka akinikuta natizama Tv atakuja kujikunyata pembeni yangu.

Nina mtihani mzito sana Poor Brain Vincenzo Jr Red black Nomadix secretarybird na Pdidy
Nyie kama wanaume naomba muungane na wanaume wote na wanawake wa humu kunipa ushauri.
Hebu picha tuone alivyolala...
 
Naombeni ushauri au neno lolote.

Hapa ninapoishi (Ubungo) nimepata mgeni wa kike.

Dada huyu alikuwa ni rafiki yangu wa huko nyuma kabla sijaachana na ile kazi ya haramu niliyokuwa naifanya kule Mori na Dodoma.

Sasa huyu mgeni kwanza nimeshangaa kapajuaje hapa ninapoishi na licha ya hivo pia nimeshangaa sana kuja kukaa hapa maana ni nadra sana kupokea mtu ambae mlikuwa hamna mazoea kihivyo.

Anyway tuachane na hayo, nimekuja hapa jukwaani kuwaomba ushauri ili nijue nafanyaje.
Huyu rafiki yangu wa ana tabia zifuatazo:

1. Anapenda sana kunisalimia kwa kunikumbatia.
Yaani hata akiniona nimetoka dukani tu huja kunikumbatia hii tabia hakuwa nayo awali.

2. Huwa nina tabia ya kutizama televisheni mpaka usiku wa manane, akigundua kama niko macho kwenye kochi basi atakuja karibu yangu na kujikunyata kifuani kwangu ili tuangalie wote movie

3. Kuna siku nilikuwa naoga bafuni (chumba changu ni self) akaomba tuoge wote nilimkubalia kwa kujua ni rafiki tu ila aliamua kuniogesha mpaka mwisho

4. Hupenda kuninunulia zawadi za chupi na sidiria. Na juzi ile kaniletea zawadi ya kikuku cha mguuni.

5. Tukilala hupenda sana tukumbatiane na huwa namuona kama anapata hisia sana.
Sasa sielewi hisia za mwanamke na mwanamke anazitoa wapi?

6. Jana katoa kali, kasema eti maziwa yangu ni magumu nisijaribu kuyafanyia plastic surgery kwani nitayaharibu, anayapenda hivohivo.

Jamani huyu dada ananifanyia vituko vingi na vingine sisemi kwani ni aibu.

Mimi sina hisia nae kabisa japo ukikaa nae nasikia mpaka mapigo yake ya moyo yanavyodunda.
Mimi nimeumbwa kwa ajili ya mwanaume na si kwa ajili ya mwanamke mwenzangu.

Naombeni mbinu ya kumtoa hapa kwangu.
Kwao anasema ni Tengeru ila alikuja Dar kutafuta maisha.
Ananisapoti sana kimaisha kwani ni mchakarikaji sana ila shida ni hiyo tu.

Naogopa ipo siku nitamkuta juu ya kifua changu nami sitaki hali hiyo itokee.

Hapa nilipo namuangalia alivyolala kwa hisia.
Najua akiamka akinikuta natizama Tv atakuja kujikunyata pembeni yangu.

Nina mtihani mzito sana Poor Brain Vincenzo Jr Red black Nomadix secretarybird na Pdidy
Nyie kama wanaume naomba muungane na wanaume wote na wanawake wa humu kunipa ushauri.
Nusrat vipi bibie ! Nakukumbusha tukutane tubadilishane uzoefu bhn
 
Jamani huyu dada ananifanyia vituko vingi na vingine sisemi kwani ni aibu.
Umeona sasa, tutashauri vipi wakati vingine unaficha
4917fbea4726cdee363e339930fc3190.jpg
 
Back
Top Bottom