Rafiki yangu kanivuruga akili Mno

Rafiki yangu kanivuruga akili Mno

Ushemeji uliisha pale tu ulipofanya maamuzi ya kumuacha...she is a free girl kwa sasa.
 
Cha Kuokota Si Cha.........!we Kim nana ...una nini wewe

Hahahaaa si ulimuacha? Hivi ukikuta embe dodo limetupwa mchangani utaliacha? Mwache ajilie vyake bwana.....tartiiiiiiibuuuu......
 
Last edited by a moderator:
Huyo anasthili teke la pmb huko kote hajaona hadi aje ale ulipokula wewe?
huo ni usengenyaji....

Evelyn Salt
Jamaa Anatoka Shavu Nami Naona
Kwa Maneno Yako Nasema Sikubali...Lazima Aonje Chungu Huyu Pimbi!
 
Last edited by a moderator:
Usithubutu kumwambia Mtu mabaya ya mwenzi wako kwani uenda hayo mabaya yakawa mazuri kwakwe na kushwawishika kumtafuta.

Pole kwa yaliokupata.

leo naamini Hayo Maneno Yako
Ahasnte Chief
 
Siku ambayo mke wa mshikaji wangu wa karibu aliponiambia anaishi na mwana kwa mazoea

Mimi ndie nilikuwa first priority yake na yupo tayari kunipa 0714

Nashukuru Mungu kanipa kujizuiza lakini angepata mtu ambaye beki hazikabi...........

Sometimes wanawake wanachangia sana usimlaumu mchizi kiviiileeee

mh! Ya Kweli Hayo Chief
We Ni Mtu Poa Sana...Ubarikiwe Kwa Hilo
 
Evelyn Salt
Jamaa Anatoka Shavu Nami Naona
Kwa Maneno Yako Nasema Sikubali...Lazima Aonje Chungu Huyu Pimbi!
Ila nawe majigo kwanini kila siku wewe tu na kesi za madem usikute hujui kupiga pmb af unataka kumiliki dem huo nao uboya pesa huna pmb hupigi ndo maana unakimbiwa
 
Last edited by a moderator:
mapenzi yanatutesa sana ila wewe umezidi mkuKILA SIKU UNAUMIZWA WEWE TUU????????
 
Jamaa namkubali sana kwa habari anazozitoa, anakitendea haki kipindi chake....la kwako linanikumbusha Park Min Young wa City Hunter

Hahahaa...haya bwana...ila jamaa yuko vizuri...
 
Ila nawe majigo kwanini kila siku wewe tu na kesi za madem usikute hujui kupiga pmb af unataka kumiliki dem huo nao uboya pesa huna pmb hupigi ndo maana unakimbiwa

Ndo Nini Sasa Hivi Nawe Evelyn Salt
pmb Napiga Mbona
Ila Kwenye Kuhonga...Sijui Wenzangu Wanonga Nini Cha Zaidi!......Kwani Nami Najitahidi Kuhonga Kwakweli!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom