Rafiki yangu kanivuruga akili Mno

Rafiki yangu kanivuruga akili Mno

Umeiona hiyo City Hunter? Ni movie nzuri sana ila kimtindo ni kama wameiga ile ya Nikita

Me ndo yule actress bwana...now nimejifunza kiswahili..nipo hapa kariakoo napiga box....hahahaaa...

Yeah ni movie nzuri....
 
aiseee......
una kapollonium au ka acid au hata ka bastola kadogo labda nikushauri cha kufanya..........?.......
huyo jamaa kakuning'iniza tezi dume zako........na usipokuwa makini.......atazing'oa.........chukua hatua haraka........
bora ingekuwa humjui.........

Kwa mtindo huo utamaliza wengi!
 
Yaani mtu anakuambia muache mpenzi wako na wewe unamuacha? mmmh hapo ndipo huwa mnaniacha hoi,mwanaume lazima uwe na msimamo huo ndio uanaume.Ona sasa rafikio anakucheka tena siri zako zote anazijua,ila msamehe bure
 
mapenzi yanatutesa sana ila wewe umezidi mkuKILA SIKU UNAUMIZWA WEWE TUU????????

nisaidie masai dada
Mi Nazani Chaguzi Teule Toka Kwa Mungu Linanikaribia...Nasema Mungu Ana Makusudi Mema Na Mtumishi Wake Majigo
 
Last edited by a moderator:
Yaani mtu anakuambia muache mpenzi wako na wewe unamuacha? mmmh hapo ndipo huwa mnaniacha hoi,mwanaume lazima uwe na msimamo huo ndio uanaume.Ona sasa rafikio anakucheka tena siri zako zote anazijua,ila msamehe bure

Unayosema Ni Kweli Chief!..Yaan Sasa Nimepata Funzo!
 
Me ndo yule actress bwana...now nimejifunza kiswahili..nipo hapa kariakoo napiga box....hahahaaa...

Yeah ni movie nzuri....

Hongera zako ila si bado unaikumbuka lugha ya kwenu?....hebu nijibu basi hapo "Nanun ku yong-hwa olmana chuahanunji ara?", hahahahaa
 
Ndo mapenzi yalivyo, yawezekama hakuwa wa kwako, Mungu hakukupangia yeye. Cha msingi wewe ni kujikaza kisabuni na kusonga mbele na wala usigombane na huyo rafiki yako wala kukwaruzana na huyo ex wako. Alikuwa wako zamani, sio sasa! Kama ikiwezekana wala usiwaulize, mpaka wao waanze kukwambia. Kama walifanya hivyo kama njama, nafsi zao zitawasuta.
 
SAA nyingine Shukuru kwa mambo kama haya
Huwezi kujua Mungu kakuepusha na nini au amekupangia nini mbeleni..

Kuwa mpole watakie mema ingawa inakuuma.

huonda Mungu Ananiandalia Chaguzi Bora Toka Kwake
Sina Budi Kusubiri!
 
Anajua Kabisa Yule Alikuwa
Shemeji... Tena Hata Kesi Ndogo Ndogo Zilizotuhusu, Niliziweka Wazi
Kwake Kwa Ushauri Na Msaada Wa Mawazo

Hata Tuliposhindwana Na Huyu Binti!.... Nilimshirikisha ......Na
Kwakuwa Nilishavumilia Na Kuchoka Juu Ya Vitimbi Nilivyoangushiwa Na
Huyu Binti, Akaafikiana Nami Kuwa Niachane Naye

Baada Ya Miezi Kadhaa......Cha Ajabu Kinachonishangaza Katika Hii Dunia
Ni Kumuona Huyu Rafiki Yangu Akiwa Karibu Sana Na Huyu Binti Kwa
Kipindi Hiki, Dalili Zinazoashiria Kuna Kitu Kinaendelea......Namaanisha
Anamake Love Na Huyu Shemeji Yake
Nifanyeje Jamani?.....Kwani Kaniharibia wikend Yangu
Ahsante Jigo

kinachokuuma ni n wakati mungu kakuepushia pope? ebu sema ameen...
 
Hongera zako ila si bado unaikumbuka lugha ya kwenu?....hebu nijibu basi hapo "Nanun ku yong-hwa olmana chuahanunji ara?", hahahahaa

(Nŏ-mu) kam-sa-ham-ni-da!.......hahaaahaaa
 
Hàta chupa ya maji ukitupa baada ya matumizi huokotwa na kufanyiwa mchakatonwa kutumika tens seize mpenzi!!
 
Wewe si umesemab ulishamuacha!???....sasa punic mode za nn tena???,,,waache wafanye yao we nenda kapige kura
 
Anajua Kabisa Yule Alikuwa Shemeji... Tena Hata Kesi Ndogo Ndogo Zilizotuhusu, Niliziweka Wazi Kwake Kwa Ushauri Na Msaada Wa Mawazo

Hata Tuliposhindwana Na Huyu Binti!.... Nilimshirikisha ......Na Kwakuwa Nilishavumilia Na Kuchoka Juu Ya Vitimbi Nilivyoangushiwa Na Huyu Binti, Akaafikiana Nami Kuwa Niachane Naye

Baada Ya Miezi Kadhaa......Cha Ajabu Kinachonishangaza Katika Hii Dunia Ni Kumuona Huyu Rafiki Yangu Akiwa Karibu Sana Na Huyu Binti Kwa Kipindi Hiki, Dalili Zinazoashiria Kuna Kitu Kinaendelea......Namaanisha Anamake Love Na Huyu Shemeji Yake
Nifanyeje Jamani?.....Kwani Kaniharibia wikend Yangu
Ahsante Jigo

Pole sana lakini mbona maelezo yako yanaonesha tuu ni wasi wasi wako?
Lakini si ulishamshindwa ukamuacha? Tatizo nini tena?
Bila shaka hivyo vitimbi vina uhusiano na usaliti ...sasa kama unaamini uliyempenda ana kubali Kuala na rafiki yako wanini tena huyo? Huyo si Malaya? unalia nini?

Achana nae tafuta mwanamke mwingine,Jipe muda utamsahau kabisa na huna sababu ya kuendelea na rafiki wa namna hiyo!
 
Marafiki wengine sijui wakoje! Amekushauri uachane na manzi wako, then baada ya mda ana kila dalili za kutaka kumega. Kwani hamna wanawake duniani hadi amtake huyo? Wanaume wengine ni majanga, hii kitu nishawahi kuiona sehemu, sijui ni nini hasa wanafurahia..
 
Ila nawe majigo kwanini kila siku wewe tu na kesi za madem usikute hujui kupiga pmb af unataka kumiliki dem huo nao uboya pesa huna pmb hupigi ndo maana unakimbiwa

hahahahaha Mwl kuwa na huruma!
 
Back
Top Bottom