Wachu macheke
Senior Member
- Oct 8, 2024
- 171
- 347
Rafiki yangu kamususa mke baada ya kugundua anamchiti na mke amegoma kuomba msamaha ila jamaa amesema huyo mke wake anakaa uchi kama njia ya kumrudisha jamaa kwenye mstari na huyo jamaa amejikuta akirudisha mahusiano huku akijua fika mke wake anamchiti, japo amesema anampango wa ku muvu lakini anaomba ushauri afanye nini kujiepusha na huyo mke kwa mda huu ambao bado anajipanga kuondoka