Rafiki yangu kamususa mke

Rafiki yangu kamususa mke

Wachu macheke

Senior Member
Joined
Oct 8, 2024
Posts
171
Reaction score
347
Rafiki yangu kamususa mke baada ya kugundua anamchiti na mke amegoma kuomba msamaha ila jamaa amesema huyo mke wake anakaa uchi kama njia ya kumrudisha jamaa kwenye mstari na huyo jamaa amejikuta akirudisha mahusiano huku akijua fika mke wake anamchiti, japo amesema anampango wa ku muvu lakini anaomba ushauri afanye nini kujiepusha na huyo mke kwa mda huu ambao bado anajipanga kuondoka
 
Rafiki yangu kamususa mke baada ya kugundua anamchiti na mke amegoma kuomba msamaha ila jamaa amesema huyo mke wake anakaa uchi kama njia ya kumrudisha jamaa kwenye mstari na huyo jamaa amejikuta akirudisha mahusiano huku akijua fika mke wake anamchiti, japo amesema anampango wa ku muvu lakini anaomba ushauri afanye nini kujiepusha na huyo mke kwa mda huu ambao bado anajipanga kuondoka
Huyo jamaa ni wewe.

Yaani tukushauri muachane halafu mkirudiana utuseme sisi ndo tulikishauri.
 
Rafiki yangu kamususa mke baada ya kugundua anamchiti na mke amegoma kuomba msamaha ila jamaa amesema huyo mke wake anakaa uchi kama njia ya kumrudisha jamaa kwenye mstari na huyo jamaa amejikuta akirudisha mahusiano huku akijua fika mke wake anamchiti, japo amesema anampango wa ku muvu lakini anaomba ushauri afanye nini kujiepusha na huyo mke kwa mda huu ambao bado anajipanga kuondoka
Avumilie tuu na akae uchi!
 
Back
Top Bottom