Rafiki yangu kampenda dada mwenye Sickle Cell



Huyu pasipo kutia shaka ni Dr ksb haya yote aliyoyaandika hapa, ndiyo yaliyozungumzwa na kushauriwa na Ma Dr pale MNH kipindi nahudhuria clinic ya wagonjwa Wa sickle cell kabla hatujaambiwa kimefungwa. Ila nashukuru Dr Wa mtoto wangu bado anaendelea kunisaidia kila ninapohitaji msaada Wa ushauri au matibabu.
Asante Dr ,naona sasa watakuwa wameelewa vizuri wale wote ambao walikuwa hawana uelewa juu ya ugonjwa huu, asante sana.

Hiyo ya udumavu Wa akili, namshukuru sana Mungu ksb Mwanangu ameepukana nayo.
 
Mkuu wewe umefanikiwa kuishinda hofu..! Mungu wetu ni mwema hongera kwa kuwa na furaha.
 
Haku

Mkuu hakuna maisha yenye guarantee, tuakufa za kuzaliwa randomly.
 
Mm ningempenda sana. Nilikua kuwa na mahusiano na binti mwenye hiv. Alininyima penz mpaka nikajilaumu, akaja kuniambia ukwel, nilimpenda sana mpka mwenyewe akaniacha.
Duuh! Kuna watu mna mapenzi yenu aisei..!
 
Ni ugonjwa hatar sana unarithishwa pia binafc ukoo wetu wote upande wa mama una sickle cell kila kila familia ina watoto au mtoto mwenye sickle cell ila anatakiwa ajue ana sickle cell trait or sickle cell desease ( Anaemia) trait anakuwa anabeba single sickle cell from only one parent huyu anakuwa hana shida sana anazaa na anaishi kikawaida labda kuumwa umw kidg kukauka damu barid viungo kuuma ila sio hatari sana but mwenye sickle cell desease yeye anabeba sickle cell from all parents so anakuwa na desease yenyew wengi wanakuwa wembamba kukauka damu mara kwa mara vingo kuuma baridi na desease inakuja pale if mother have sickle cell desease and father ana sickle cell desease or mzaz mmoja ana sickle cell desease mmoja ana trait or wote wazaz wawil wana trait sickle cell na kila watoto watakaozaa kwenye wa3 japo mmoja atakuwa na Desease wengine watapata japo trait yani wanabeba gense kwa mzaz mmoj tu wanaobeba kw wazaz wote ndo wanapata desease na hapo ujiandae kuuguza mara kwa mara ila wanaish japo kwa tabu naongea haya nn experience nayo mtoa mada mke wa rafki yako anaish wapi
 
Isitoshe haujawah kutokea msiba wa mtu kwetu aliekufa kwa sickle cell japo wanaish kwa tabu wenye sickle cell desease
 
Hamisi almaarufu FA anadunda kama kawa na kaoa zake na kabinti Mungu kawajaalia kama jamaa ako kampenda uyo binti asonge nae tu huo uoga wake sio kinga maana Mungu fundi unaweza kumuoa mwenye afya zake ila baada ya ndoa akateleza tu bafuni na akapooza mazima aya mambo ukijifanya uko makini kuliko umakini wenyewe utajikuta umefika mwisho wa safari kabla haujaianza.
 
Hakutakiwa kumuacha kawaida mwenye desease anakuwa na doctor maalum anaemguide n maisha yanaenda murua
 
Hatumkatishi tamaa lakini anything can happen any time. Pia kuna uwezekano mkubwa wa kuzaa watoto wenye hilo tatizo kwa sababu huo ni ugonjwa wa kurithi.

Umenikumbusha msiba wa rafiki yangu kipenzi aliyekuwa na hilo tatizo.

Ni kweli ugonjwa sickle cell ni wa kurithi. Lakini mtoto anaweza kuurithi ugonjwa huo kutoka kwa wazazi wake endapo wazazi wa pande zote mbili watakuwa wamebeba vina 7 (genes) za sickle cell.

Mtoto hawezi kurithi huo ugonjwa endapo mzazi 1 ndio amebeba vina 7 (genes).
 
Reactions: VSM
Mwambie huyo jamaa yako kama kazoea bao 3 kwa mchepuko hapo nibao mojatu. akizidisha anamuua
 
Hiyo ya udumavu wa akili sio kweli. Mm nimesoma na mtu mwenye shida kama hiyo alikuwa very bright. Na saiv ni Daktar wa binadam na yuko above 30yrs now na afya yake iko njema kbsa
 
Mtu mwenye sickle cell akishavuka 22yrs haina complication sana. Sema kwenye ujauzito atahitaji uangalizi wa hali ya juu coz tatizo kubwa kwao ni kupungukiwa damu kunapoweza kuleta kifo cha ghafla.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…