Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 3,839
- 3,087
Kilichotokea mume alikosa kipato, pia akaugua, basi mama dharau ikawa kubwa kama anavyosimulia huyu mleta post. Mazingira hayo hayo, halafu cha ajabu mume ndio alimsomesha mke mpaka hapo alipofika.Yan kuna watu wapumbavu sana alaf mwisho wa siku anakuja kulaum mwanaume hatoi msaada kwenye kukemea watoto