miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,414
- 10,970
Hata sielewi kabisaaa.... yaan maadili hamepotea kabisaaa. Imefikia stage watu kuamua kujizalia tu maisha yaende. Imekua kama prestige. Makungwi wenyewe majanga. Nakumbuka enzi za IFM kuna mama alikia akiijiuta mama shughuli kungwi lao. Alikua anaingia hostel enzi hizo kila mtu ana access. Anatuambia anafunda kwa sh. Laki 2 tena no ngono wala si mengine. Mremboo, amejaza vikukuku miguu yote. Mara anapigiwa simu na faza amepaki vx geti la makumbusho anatuambia eti ni mume wakeElimu hipi hyo!?? Hii ya sahiv ya makungwi walioshindwa na ndoa zao na yakutazama porn unategemea ije iwakomboe? Ama ya kitchen part ya siku moja?
Zaman mwali aliandaliwa mda mrefu na kufundishwa mengi tofauti na ilivyo kwa waolewaji/waowaji wa sasa.
Yan inasikitisha sana mbaya zaidi kumtukana/kumpandishia sauti mme wake mbele ya watoto hii ni hatari sana kwa malezi
Upuuzi mtupu aisee
Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app