Rafiki yangu anamtongoza mpenzi wangu

Rafiki yangu anamtongoza mpenzi wangu

Huyo mpenzi wako ulimtoa bikra au ulishakutwa kadinywa????.....ishi na mwanamke kwa akili na usipoangalia waweza kugombana na kila mtu mpaka wazaz wako!!!!

kuna wanawake wenye bikra lakini wana tabia mbaya kuliko wale wasiokuwa na bikira
 
Hilo neno bold kweli kabisa nalichukia sana, ivi maana yake hasa nini? Mbona linanichefuaga mimi? Ivi hii imekaaje...Huyo mpenzi wako ulimtoa bikra au la/walitoa wenzio..(ilo neno miss strong ulotumia uuhhh,)

Teh teh teh.......kwanini linakuchefua???au ulidinyiwagwa demi wako??!!!
 
Hilo neno bold kweli kabisa nalichukia sana, ivi maana yake hasa nini? Mbona linanichefuaga mimi? Ivi hii imekaaje...Huyo mpenzi wako ulimtoa bikra au la/walitoa wenzio..(ilo neno miss strong ulotumia uuhhh,)

Teh teh teh.......kwanini linakuchefua???au ulidinyiwagwa demu wako??!!!
 
Acheni kujifanya mnajua sana kuongea. Mtu kishawaambia kuwa amethibitisha hata kwa kusikia sauti ya huyo jamaa bibie aliweka loud speaker. Sasa hapo huyo dada analaumiwa kwa lipi? Mlitaka asimwambie mumewe ili azidi kusumbiliwa? Kama hamna ushauri wa maana mkae kimya. Nachukia wanawake wanaodhani kuwa hakuna mwanamke anayeweza kuwa mwaminifu kwenye ndoa yake.

Tena kama ni wa kule nako toka aangalie vizuri la sivyo na yeye kapuni biashara bidada anamiliki....
 
Nadhani rafikiyo kajisahau na kudhani mnashare biashara na mengineyo pia.

Mkanye mkeo ajue kumtosa mtu kwa namna ambayo hatarudi hata ikiwa ni king'ang'anizi.

Mfate rafikiyo umpe ukweli...amuache mkeo au muweke biashara rehani.

Asipokuelewa,weka mtego tuje tutusue togo yake!!
 
Kwa hiyo kwako wewe pesa
ni kitu muhimu kabisa kuliko family? Niache kulinda ndoa yangu iwe na amani kwa kuweka pesa mbele? Nahisi we utakua hujaolewa au kama umeolewa basi siyo mwaminifu kabisa kwenye ndoa yako, ndio maana unakua na ushauri mbaya kiasi hicho.

may be he will take for granted... but serious mapenzi na kazi si sawa.... the guy he need to focus, imagine aache kufanya biashara na jamaa aje kugundua demu alikuwa anamchuza atajuta maisha yake yote...
 
habari wana jamvi,nina mpenzi ambaye tu wapenzi kwa muda sasa na tunatarajia kuoana soon,sasa nina rafiki yangu wa karibu tu ambaye pia tumeanzisha biashara pamoja .sasa huyu rafiki yangu anamtongoza mpenzi wangu sikuweza kugundua hicho kitu mpaka mpenzi wangu aliponiambia sababu alianza mtongoza na huyu mpenzi wangu akamkatalia na kumtishia akiendelea ataniambia mimi,lakini rafiki yangu hakuelewa na mpenzi wangu akanambia na kuna siku alipiga simu mpenzi wangu akamuweka loudspeaker nikawa namsikia akimuambia mpenzi wangu mambo mengi ya uongo kuhusu mimi ikiwepo kuwa nina mahusiano na wapenzi wengine wengi na ni kitu sio cha kweli.kwa kweli hasira kali zimenikamata na sijui nifanye ninikwa haraka nimefikiri kufuta ukaribu naye kabisa na nimuite nimuambie na kuanzia hapo urafiki ufike mwisho na pia kuacha kufanya nae hiyo biashara tumeanzisha pamoja maana napata wasiwasi kama mtu anathubutu kutaka kukusaliti kwa kuwa na mahusiano na mpenzi wako basi hata anaweza kukusaliti au kukuuua kwenye biashara au pesa.....naombeni tu ushauri wenu maana pia naona naweza fanya kitu kibaya kwake bure.

hii jamii forum sasa inataka kuharibiwa na mada za kijingajinga kama hizi,maelezo yako yanaonyesha tayari unalo jibu na unajua nini unapaswa kufanya? Tukushauri kipi tena?? Mlete kwangu basi huyo demu wako nimshauri ila umuache kwangu wiki mbili..
 
Acheni kujifanya mnajua sana kuongea. Mtu kishawaambia kuwa amethibitisha hata kwa kusikia sauti ya huyo jamaa bibie aliweka loud speaker. Sasa hapo huyo dada analaumiwa kwa lipi? Mlitaka asimwambie mumewe ili azidi kusumbiliwa? Kama hamna ushauri wa maana mkae kimya. Nachukia wanawake wanaodhani kuwa hakuna mwanamke anayeweza kuwa mwaminifu kwenye ndoa yake.

wewe umesema ni girlfriend siyo mke be care kwa sababu people we do talk from history so wewe endelea kuchukia... me sijaolewa na huyu aliyetaka ushauri ajamuoa just rafiki/ mpenzi ingekuwa ni mke hapo ningeshauri kivingine kabisa..... don't trust any body and don't lie to u're self.. u will lost.... just ushauri
 
Acheni kujifanya mnajua sana kuongea. Mtu kishawaambia kuwa amethibitisha hata kwa kusikia sauti ya huyo jamaa bibie aliweka loud speaker. Sasa hapo huyo dada analaumiwa kwa lipi? Mlitaka asimwambie mumewe ili azidi kusumbiliwa? Kama hamna ushauri wa maana mkae kimya. Nachukia wanawake wanaodhani kuwa hakuna mwanamke anayeweza kuwa mwaminifu kwenye ndoa yake.

wewe acha kupaniki si mke huyo ni girlfriend kasema .... chukia basi upasuke lia basi nikuone....
 
Kuna maswali kadhaa ya kujiuliza kabla hujachukua hatua:
Je rafiki yako alimfahamuhuyo mwanamke kabla yako?
Je rafiki yako anatambua unataka kuoa au umemweleza we unapoza njaa tu?
Je huyo rafiki yakowanakutana wapi hata akatongozwa?
Je kama ni kupitia simu namba ya simu nani amempatia?
Kama wewe au yeye ulipatia kwa ajili gani?
Tafakari kama hiyo si njia ya kuharakisha ndoa kwa kukufanya wewe uone utanyang'anywa
Mwisho endelea kufanya biashara na rafiki yako naamini urafiki wenu ulianza kabla ya huyo mdada
 
Ndugu,mwanamke ni mzito kuliko mwanaume.Mwanaume kaumbwa kutokana na mavumbi ila ukumbuke kuwa mwanamke kaumbwa kutokana na MBAVU..
Chunga sana kaka.



"Nlikuwepo":bolt:
 
Ndugu,mwanamke ni mzito kuliko mwanaume.Mwanaume kaumbwa kutokana na mavumbi ila ukumbuke kuwa mwanamke kaumbwa kutokana na MBAVU..
Chunga sana kaka.


"Nlikuwepo":bolt:
 
Huyu ni mpenzi wako na siyo mke wako Hivyo wewe una uhalali wa kumfanyia wako .kwanza nimependa swali uliloulizwa Huyu dada ulimkuta na bikira ?? Kama Hapana basi Huyu wameshachapa wengi sana na usije gombana na rafiki yako kwa sababu ya mwanamke wanawake wamejaa kibao tena wazuri Huyu ni mwogo mkubwa weka number yake ya simu Hapa Kama ajachapwa Kabla ya jumapili tuone Kama atakusimulia wengine wanaomchapa Kabisa anakuwaambiaga ??????
 
Huyu ni mpenzi wako na siyo mke wako Hivyo wewe una uhalali wa kumfanyia wako .kwanza nimependa swali uliloulizwa Huyu dada ulimkuta na bikira ?? Kama Hapana basi Huyu wameshachapa wengi sana na usije gombana na rafiki yako kwa sababu ya mwanamke wanawake wamejaa kibao tena wazuri Huyu ni mwogo mkubwa weka number yake ya simu Hapa Kama ajachapwa Kabla ya jumapili tuone Kama atakusimulia wengine wanaomchapa Kabisa anakuwaambiaga ??????

Weka namba yako uone kama hutachapwa basi
 
Back
Top Bottom